Meritta
JF-Expert Member
- Apr 26, 2011
- 1,303
- 292
Mi pia natamani ila kama nimefungwa mdomo vileMungu wangu! Nini naweza sema hapa?????
Mi pia natamani ila kama nimefungwa mdomo vileMungu wangu! Nini naweza sema hapa?????
yaani umenitukana vibaya sana sana....mbona mnachuulia mambo kihivyo jamani, sio wote tupo hivyo, wengine tunawalea hao watoto kama wa kuwazaa vile, inategeemana na ubinadamu wa mtu jamani.
yaaaaaaaaani some people are living b'coz it is illegal to kill them!Kuna watu wengineUtadhani walitapikwa na si kuzaliwa..Hata wanyama pori wana akili kuliko wao.Itakiwa vema kama akipelekwa kizimbani..