Mama Samia, Mkombozi wa Taifa letu

Mama Samia, Mkombozi wa Taifa letu

Bachelor OG

JF-Expert Member
Joined
Aug 27, 2022
Posts
1,196
Reaction score
1,463
Mama Samia, Mkombozi wa Taifa Letu

Tunamshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutujalia kiongozi mwenye maono, hekima na moyo wa huruma kama Mama Samia Suluhu Hassan.

Ameinua maisha ya Watanzania kupitia miradi ya kimkakati, elimu bora, huduma za afya, miundombinu na uchumi wa kidigitali.

Mama Samia sio tu kiongozi, bali ni mkombozi wa kweli kwa taifa letu. Tumeshuhudia amani, mshikamano na maendeleo yanayoonekana kwa macho. Kwa ujasiri na uongozi wake wa kipekee, Tanzania inasonga mbele kwa kasi ya matumaini.

Hakika, Mama Samia anatosha sana na tunakwenda nae bila kuyumbishwa.
#KaziNaUtu
#TunasongaMbele
20250704_105404.jpg
 
Ukiacha uchawa (ofkoz njaa haina baunsa) Tz haijawahi kupata kiongozi mwenye uwezo duni kama Sa100!.
 
Mama Samia, Mkombozi wa Taifa Letu

Tunamshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutujalia kiongozi mwenye maono, hekima na moyo wa huruma kama Mama Samia Suluhu Hassan.

Ameinua maisha ya Watanzania kupitia miradi ya kimkakati, elimu bora, huduma za afya, miundombinu na uchumi wa kidigitali.

Mama Samia sio tu kiongozi, bali ni mkombozi wa kweli kwa taifa letu. Tumeshuhudia amani, mshikamano na maendeleo yanayoonekana kwa macho. Kwa ujasiri na uongozi wake wa kipekee, Tanzania inasonga mbele kwa kasi ya matumaini.

Hakika, Mama Samia anatosha sana na tunakwenda nae bila kuyumbishwa.
#KaziNaUtu
#TunasongaMbeleView attachment 3393668
Screenshot_20250615-124601~2.png
 
Kuna shule kule kirasini imeuzwa kwa mwekezaji toka tumepata uhuru sijawahisikia wala kuona shule ya serikali inauzwa
 
Hata akija mjusi anayetokana na CCM bado mtamsifia tu.
 
Mama Samia, Mkombozi wa Taifa Letu

Tunamshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutujalia kiongozi mwenye maono, hekima na moyo wa huruma kama Mama Samia Suluhu Hassan.

Ameinua maisha ya Watanzania kupitia miradi ya kimkakati, elimu bora, huduma za afya, miundombinu na uchumi wa kidigitali.

Mama Samia sio tu kiongozi, bali ni mkombozi wa kweli kwa taifa letu. Tumeshuhudia amani, mshikamano na maendeleo yanayoonekana kwa macho. Kwa ujasiri na uongozi wake wa kipekee, Tanzania inasonga mbele kwa kasi ya matumaini.

Hakika, Mama Samia anatosha sana na tunakwenda nae bila kuyumbishwa.
#KaziNaUtu
#TunasongaMbeleView attachment 3393668
Anatukomboa na nini sasa jamani mambo mengine hata muwe na mshipa wa aibu. Anatuuza anatutesa ana tupa tu hasira. Na deni lileeeeee 107T
 
Back
Top Bottom