Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,980
Mama Ni kiongoz wa kiroho na apaswi kushuhudia au kuhukumu, Leo ameonekana akishangalia hoja ya msalito kuuwawa huku mtoa hoja akimtaja msaliti kwa jina la zito kabwe.
Kiongozi huyu wa dini anatoa dira na mwelekeo gani kwa wananchi? Nini msimamo wake kwenye suala la mauhaji?
Upande mwingine, Nini faiada wanayopata wananchi kwa kuuwawa kwa baadhi ya watu wanaonekana ni wasaliti? Je, tunajenga taifa lisiloamini kwama mkosaji anapaswa kufikishwa kwenye vyombo vya dola?
Kiongozi huyu wa dini anatoa dira na mwelekeo gani kwa wananchi? Nini msimamo wake kwenye suala la mauhaji?
Upande mwingine, Nini faiada wanayopata wananchi kwa kuuwawa kwa baadhi ya watu wanaonekana ni wasaliti? Je, tunajenga taifa lisiloamini kwama mkosaji anapaswa kufikishwa kwenye vyombo vya dola?