Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,054
- 6,281
hee!! jaman mbona watu hawana hata mshipa wa aibu? sijui umekatika?
Mtu mzima huyo anakata mitaa akiwa na Fegi mdomoni na Kiroba mkononiWadau katika pitapita mitaani nilikutana na mama mtu mzima akifanya uchangudoa mitaani mchana kweupee bila hata ya kuwa na aibu!
Kikielekea dukani kuongeza kiroba na sigara
Baada ya kuambiwa lile ni duka la vifaa akaamua kununua kwenye kioksi na hapa anaomba moto
Alipoona watu wanamjalia akaamua ajikate huku akitingisha vikalio vyake!
Biashara ni kujitangaza. Atakuwa ni Mnigeria maana naona hiyo sura tu.
hahaha. Bongo hio Stunna?
Kwa tamaa zangu naweza kumchukua,je akinikazia itakuaje? Anaonyesha yupo fiti hata mkono
Uso umemkomaa.hana aibu hata chembe...................
Pia si ajabu umri wake ni mdogo tu ila chemicals zimeharibu kabisa mandhari ya ngozi yake...
Mkuu ni dar huoni gudulia la blue vinjwaji?tena kituo cha basi kinondoni kawawa rdKama ni bongo basi hapa kutakuwa ni Kilimanjaro au Arusha, maana kwa Dar angefilwa mchana mchana ili akomolewe tu.
Uso umemkomaa.hana aibu hata chembe...................