Samahani,naomba kukuuliza
Wewe uko wapi kimakazi
Unahitaji mwanauwe Wa sehemu gani?
Je unajitolea kulea tu au uko tayari Kwa huduma za kuwa mama Kwa baba Wa watoto?.
Je kama hana Mtoto ila akiwa tayari na wewe uko tayari?
Je unaweza kwenda mkoa ambao atakuwepo?
Umri wako na udhoefu wako ukoje?
Wewe unawatoto,na kama unao,je unataka na yeye awalee au LA!??