Mama mkwe ananing'angania

Anajua mkuu!

Sababu ya yeye kuja kwako ipo wazi kwamba anataka kufufua mahusiano.

Na wewe sasa cha msingi ni kumkalisha chini na kumueleza upya kinagaubaga bila kuuma maneno kwamba hayupo moyoni mwako tena.
 
Sababu ya yeye kuja kwako ipo wazi kwamba anataka kufufua mahusiano.

Na wewe sasa cha msingi ni kumkalisha chini na kumueleza upya kinagaubaga bila kuuma maneno kwamba hayupo moyoni mwako tena.

Nashukuru mkuu!
 
You were brave enough to say goodbye to her, now life has reward you with a new hello,so embrace the chance given by the mother in law!
 
jamaa utapata mpz atakaye kupenda kwa dhat kisa kutanguliza pesa.. tumia akir ww.. hao ndg mambo yatakuwa vilevile achana nao find mtu mwngne kwa makin usitangulize pesa ww huna hera pesa zpo 2
 
Hivi wewe umesoma chuo kipi? Mwanafunzi wa chuo ndio anaandika namna hii?

Hicho ni chuo cha makanjanja na wazee wako walipoteza wakati na fedha zao bure kukupa elimu ambayo huwezi kuitumia hata kwa kuandika sawa.

Kweli kabisa. huyu jamaa ni kama vile hajasoma chuo. Hata kama ulikuwa science lakini namiini hata kiswahili cha drs la sita kinatosha kuandika kwa mpangilio.
 
Sio zambi kuoa huyo shemeji yako, na kama wazazi wameridhia OA mkuu.
Kuna baadhi ya mila zetu za kiafrika zinaruhusu hiyo kitu na sometime hata mke akifa unapewa ndg yake wa karibu ili kulinda ukoo usipotee.
 

Kwa kiswahili....ukipenda ua penda na boga lake.
 
aisee.......kwa hiyo mama mkwe anakung'angania!
 

kama ushawahi 'tembea' na huyo ambaye ndoto yenu haikutimia si vyema hata kidogo kwa huyo mdogo mtu
 

Mbulu!!!! Kimbia ufe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…