Haya tena ni mambo ya nyumba za kupanga, hakuna stara ya mabishano! Jirani wa chumba cha pili alikuwa kwenye mjadala mkali na mumewe kuhusu tabia ya binti yao kuchelewa kurudi nyumbani akiwa na mchumba wake!;
Mume " Unajuwa tabia ya binti yetu kukaa karibu sana na mchumba wake anaweza akatuletea mimba hapa kabla ya ndowa"
Mke " Usiwe na wasi wasi mume wangu nimeshamfundisha jinsi ya kufanya bila ya kupata mimba"
Mume " Vipi?" Kwa mshangao mkubwa "Yaani umempa ruhusa ya kufanya tendo la ndowa kabla ya ndowa?"
Mke nae kwa mastaajabu " Kwani tatizo nini, si tunawwalika watu na kuchanga michango ili kuhalalisha hilo hilo?"
Wanajamii ilipofikia hapo niliwacha kufatilia mjadala na kuanza kufikiri mambo mbali mbali ninayoyasikia kuhusu kina mama mbele ya mabinti zao katika harakati za kufanikisha mahusiano ya nje ya ndowa! Nikageukia upande wetu sisi wanaume tunavyokuwa wakali kwa mabinti zetu kuhusu mahusiano ya nje ya ndowa.
Mume " Unajuwa tabia ya binti yetu kukaa karibu sana na mchumba wake anaweza akatuletea mimba hapa kabla ya ndowa"
Mke " Usiwe na wasi wasi mume wangu nimeshamfundisha jinsi ya kufanya bila ya kupata mimba"
Mume " Vipi?" Kwa mshangao mkubwa "Yaani umempa ruhusa ya kufanya tendo la ndowa kabla ya ndowa?"
Mke nae kwa mastaajabu " Kwani tatizo nini, si tunawwalika watu na kuchanga michango ili kuhalalisha hilo hilo?"
Wanajamii ilipofikia hapo niliwacha kufatilia mjadala na kuanza kufikiri mambo mbali mbali ninayoyasikia kuhusu kina mama mbele ya mabinti zao katika harakati za kufanikisha mahusiano ya nje ya ndowa! Nikageukia upande wetu sisi wanaume tunavyokuwa wakali kwa mabinti zetu kuhusu mahusiano ya nje ya ndowa.