Mama kidole huyo anko kidevu ndio naniii..,

Mama kidole huyo anko kidevu ndio naniii..,

fiter

JF-Expert Member
Joined
Dec 3, 2013
Posts
1,144
Reaction score
79
kama yule jamaa wa hili tangazo yuko jf apokee like yangu ya nguvu, tangazo lake kwa lafudhi ya KIHAYA zuri sana
 
si Yule anamchum grace Kwenye gari yake halafu anamwambia naomba 0713
 
Hivi umefikiria nini mwenzetu hadi kuanzisha huu uzi?
 
Hahaha hilo tangazo ndio the best ya matangazo yote. Uncle kidevu anakula mzigo wa baba kidole
 
Mimi huwa najaribu kupata picha alivyo kidevu. Kwanza huwa nahisi kama mwislamu hivi ana simple kibaragashia, kaptula kubwa. Halafu ana mzuzu wa kichokozi hivi. Na prado yake makini ya kuwachanganyia habari wake za watu. Mwisho kabisa huyu atakuwa ni dalali. Alibabatiza dili moja akanunua gari yake used. Halafu uncle kidovu sasa anamsaidia baba kidole
 
Aff na lilie Baba matata,,gari imegoma kuwaka naomba namba ya fundi magari..... subiri nipo bafuni naoga..
..ahh ngoja nichukue....fundi bomba..fundi milango...anhaaaa fundi gari....simu ikaitaa...mara ikapokelewa...halow mpenz asante kwa kunikumbuka jana umeninunulia simu.....
 
Mtoto ndio ananiacha hoi kashaaribu mwenyewe anaendesha gari njimnjimmmmmm
 
Uncle kidevu ndio nani.

mamaaa, mamaaa yule anayenunuliaga chipsi na soda afu ananchumu kwenye gari yake i love too.....SALUTE KWENU WAZEE WA KATERERO
 
Apokee anaesaidia ndoayako kwanza ili iimarike mheshimu
 
Bila hao ndoa nyingi zilishakufa kasoro yangu tu
 
Nenda jjk lawabig utanipenda huko kwingine sio fanyangu
 
Back
Top Bottom