Mama Janet Magufuli

Na anajua mapozi...kaanza kukaa kimiss miss...ki queen queen...shurti kujikusanya....ha ha ha...wajanja tu ndo watanielewa...
 
Mmetumia nguvu nyingi sasa kwa huyu Mama kutoka/kupanda kwenye majukwaa ya siasa, Trust me.
 






Mama yetu Janet Magufuli akitema sera za CCM
Huyu si alikua kafungiwa ndani huyu???

Naona kamwiga mama lowassa!!! Hahahahaahaa kweli ukawa wanaleta mabadiliko yani wamepeleka mabadiliko mpaka kwa mama makuguli.
 
Tuache matusi wakuu kwa hawa wa - mama kisa tu itikadi za vyama. 90% ya kesi za kupigana kipindi nikiwa mdogo zilisababishwa na mtu kuwatusi wazazi wangu ... Yaani hapo sina uvumilivu kabisa. Anyways, amependeza but anaonekana kama ana - force tabasamu..!
 

Kitu ufanye kwa hiari hata kama ni sindano haiumi sana lakini kulazimishwa hata kicheko kinaishia kufanana na kilio.
 
Ana haiba nzuri sio kama yule ajuza na mwenzie wamechokaaaa

ivi uwez changia mpaka kukashifu, hivi watu wengine mmeumwaje? We mama ako yukoje, utajisikiaje ukiona mtu anamkejeli ma ako, kua na nidham japo kias.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…