DAVID PALMER
JF-Expert Member
- Jan 19, 2020
- 323
- 1,625
Last week nilienda kuwatembelea wazee home. Nikakuta jirani kuna mama mmoja kipofu, ni mwalimu wa primary kahamia pale. Ana watoto watatu wa kike ila wawili hawapo na siwajui pale anakaa na binti yake mmoja. Sasa hiyo siku yule binti nadhani alikua ametoka, ghafla luku iliisha. So mama baada ya kujua ni luku akanunua pale kwa wakala, then akaniomba mie nikamuwekee.
Nikiwa niko sebuleni naingiza ile Luku, mama yeye alikua amekaa jikoni anakata mboga. Kwa dirishani nikamuona binti mmoja (simjui) anaingia getin kwa kunyata. Akaja kwa kunyata mpaka kwenye huu mlango wa sebuleni. Akanikuta mie namshangaa akanifanyia shiiii na kidole mdomoni, ishara nisiseme kitu niendelee na shughuli zangu.
Akapita sebule akawa anafata ile korido ili afike jikoni kwa mwendo wa kunyata. Akawa katikati hajafika hata mlango wa jiko mama kule jikoni akasema kwa nguvu, NANI ANANYATA? Nkashangaa sana. Binti yule akasogea had mlango wa jikoni. Akawa anamuona mama yake, na mama anaangalia huu upande wa mlangoni, lakini ndo haoni. Mama akaita jina langu, nikaitaka nikiwa sebulen, akauliza nani huyu kaja kwa kunyata jikoni? Nikiwa nmeduwaa sijui nmjibuje mama akataja jina la yule binti, Mwanangu Vero (sio jina halisi), yaani umekuja bila taarifa na umefika kwa kunyata au ndio sapraizi?
Binti alivosikia mamake kamtaja jina, kamjua bila hata kumgusa akaenda kumkubatia mama yake akaanza kulia. Nikaja kujua ni mtoto wa kwanza wa huyu mama aliondoka since 2019 feb. Karudi ghafla bila taarifa. Lakini mama yake kipofu kamjua bila hata kumgusa.
Walipokumbatiana mama akamwambia binti yake umenenepa, baada ya kumpapasa usoni,
Nikiwa niko sebuleni naingiza ile Luku, mama yeye alikua amekaa jikoni anakata mboga. Kwa dirishani nikamuona binti mmoja (simjui) anaingia getin kwa kunyata. Akaja kwa kunyata mpaka kwenye huu mlango wa sebuleni. Akanikuta mie namshangaa akanifanyia shiiii na kidole mdomoni, ishara nisiseme kitu niendelee na shughuli zangu.
Akapita sebule akawa anafata ile korido ili afike jikoni kwa mwendo wa kunyata. Akawa katikati hajafika hata mlango wa jiko mama kule jikoni akasema kwa nguvu, NANI ANANYATA? Nkashangaa sana. Binti yule akasogea had mlango wa jikoni. Akawa anamuona mama yake, na mama anaangalia huu upande wa mlangoni, lakini ndo haoni. Mama akaita jina langu, nikaitaka nikiwa sebulen, akauliza nani huyu kaja kwa kunyata jikoni? Nikiwa nmeduwaa sijui nmjibuje mama akataja jina la yule binti, Mwanangu Vero (sio jina halisi), yaani umekuja bila taarifa na umefika kwa kunyata au ndio sapraizi?
Binti alivosikia mamake kamtaja jina, kamjua bila hata kumgusa akaenda kumkubatia mama yake akaanza kulia. Nikaja kujua ni mtoto wa kwanza wa huyu mama aliondoka since 2019 feb. Karudi ghafla bila taarifa. Lakini mama yake kipofu kamjua bila hata kumgusa.
Walipokumbatiana mama akamwambia binti yake umenenepa, baada ya kumpapasa usoni,