General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,300
- 23,022
hatariiii
Ommy Dimpoz mkareeee aseeeeAnashindana na mwanae game ya dinya dinywa!
Mwanae akidinya na yeye anadinywa daaah!
Haishangazi mwanae kuwa na akili za kuambatana na bashite zirobrain
Ila kuzaa kwa mwanamke ni haki yake ya msingi, kuna wengi wanangaika kuipata ata iyo mimba, inashindikan,... Mungu alisema zaeni muongezeke, hongera mama dagonte!
Agizo LA Mkuu wa kilinge, kungalisha nyota si mchezoDiamond alifanya makossa makubwa kuruhusu mama kutumia umaharufu wake kujipatia umaharufu na yeye. Sasa angalia aibu hii, Diamond azae, mama nae azae shame!
Kwan kuzaa ni dhambi.Diamond alifanya makossa makubwa kuruhusu mama kutumia umaharufu wake kujipatia umaharufu na yeye. Sasa angalia aibu hii, Diamond azae, mama nae azae shame!
Hakuna dhambi ya kuzaa, ila ni aibu kama umepita umri wa kuzaa. Huyu si wakushindana na Zari kubeba mimba, bora angekuwa katika ndoa ilikuwa aina shida. Tafsiri yake inaonekana mama malayaKwan kuzaa ni dhambi.
Umeombwa matumizi?ukiwa na mama wa hivi aisee dunia kwako itakuwa jehanamu
Nnavyoelewa mtu akishavuka umri wa kuzaa (menopause) hawezi kushika mimba, maadam ameweza kushika mimba basi bdo yupo kwenye umri wa kuzaa hayo mengine ni yenu.Hakuna dhambi ya kuzaa, ila ni aibu kama umepita umri wa kuzaa. Huyu si wakushindana na Zari kubeba mimba, bora angekuwa katika ndoa ilikuwa aina shida. Tafsiri yake inaonekana mama malaya
Mbona kina jlo wanaseduce vijana uko usemi,hata mkwe wake ni kijakazi pia,... Acha dhamira ya Mungu ifanyike,...Siangetafuta size yake Kama Dr Shika hivi.....sio Ku seduce vijana taifa LA kesho.