Mama Daisy, Mama Muni (Bi. Zainab Sykes) na Mama Maria Nyerere 1950s

Mohamed Said

JF-Expert Member
Nov 2, 2008
20,915
30,259
MAMA DAISY, MAMA MUNI (BI. ZAINAB SYKES) NA MAMA MARIA NYERERE 1950s

Nimetanguliza picha katika bandiko kabla ya hili mama zetu wanapiga kura mwaka wa 1962.

Yapi yalikuwa maisha ya wake wa viongozi wa TANU kipindi kile cha kupigania uhuru?

 
Keeping up with the Sykes.

Lakini hawa wanatakiwa kujulikana kwa mchango wao kuuondoa ukoloni Tanzania.

Tulioshwa ubongo sana kwenye somo la siasa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom