Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 20,915
- 30,259
MAMA DAISY, MAMA MUNI (BI. ZAINAB SYKES) NA MAMA MARIA NYERERE 1950s
Nimetanguliza picha katika bandiko kabla ya hili mama zetu wanapiga kura mwaka wa 1962.
Yapi yalikuwa maisha ya wake wa viongozi wa TANU kipindi kile cha kupigania uhuru?
Nimetanguliza picha katika bandiko kabla ya hili mama zetu wanapiga kura mwaka wa 1962.
Yapi yalikuwa maisha ya wake wa viongozi wa TANU kipindi kile cha kupigania uhuru?