Mama aua mtoto kwa kumchapa viboko kichwani

Bailly5

JF-Expert Member
Mar 11, 2015
16,450
35,177

BAKORA.jpg

Mkazi wa Kitongoji cha Majengo Kata ya Kabarimu Wilaya ya Bunda Mjini mkoani Mara anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kumchapa mtoto wake Wakuru Rungu (9), viboko viwili kichwani na kumsababisha kifo.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mara, Ramadhan Ng’anzi amesema tukio hilo lilitokea Mei 15 saa kumi na moja jioni baada ya mama huyo kumtuhumu mwanaye kuiba Sh8,000.

Kamanda Ng’anzi amesema mtoto huyo ni mwanafunzi wa darasa la pili katika Shule ya Msingi Kabarimu.

“Alimpiga sehemu ya kisogo hivyo kusababisha kupoteza mwelekeo,” alisema Ng’anzi.

Chanzo: Mwananchi
 
Bunda. Mkazi wa Kitongoji cha Majengo Kata ya Kabarimu Wilaya ya Bunda Mjini mkoani Mara anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kumchapa mtoto wake Wakuru Rungu (9), viboko viwili kichwani na kumsababisha kifo.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mara, Ramadhan Ng’anzi amesema tukio hilo lilitokea Mei 15 saa kumi na moja jioni baada ya mama huyo kumtuhumu mwanaye kuiba Sh8,000.
Kamanda Ng’anzi amesema mtoto huyo ni mwanafunzi wa darasa la pili katika Shule ya Msingi Kabarimu.
“Alimpiga sehemu ya kisogo hivyo kusababisha kupoteza mwelekeo,” alisema Ng’anzi.
Chanzo: Mwananchi
Anachapa mtoto wa miaka tisa!!!!!! Halafu kichwani!!!!!
 
Shangaa wewe. Sijui kwanini hakumchapa kwenye makalio. Binadamu sisi
Nashangaa mkuu. Miaka tisa ni wa kumfundisha tu. Unamchapa kichwani? Huyu mama ana wazimu. Kwanini asimchape basi matakoni tena kidogo tu!!!! Watoto wananyanyaswa sana!
 
Nalinganisha situation we are in na hilo tukio,je uchumi wa kati tutafika lini haya yote ni kwa kuwa hali ya uchumi nchi nitete, kuna mtu anaitafuta buku kwa shida sana na akiipata hiyo buku ataifanyia bajeti kwa umakini, sasa umasikini ukichanganya na hasira unaweza fanya mambo ukajutia sana baadae, unaweza pata picha yani elfu nane imempa mama hasira za kumpiga mtoto wake mpaka kuua.... We are in worse situation.....
 
Bunda. Mkazi wa Kitongoji cha Majengo Kata ya Kabarimu Wilaya ya Bunda Mjini mkoani Mara anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kumchapa mtoto wake Wakuru Rungu (9), viboko viwili kichwani na kumsababisha kifo.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mara, Ramadhan Ng’anzi amesema tukio hilo lilitokea Mei 15 saa kumi na moja jioni baada ya mama huyo kumtuhumu mwanaye kuiba Sh8,000.
Kamanda Ng’anzi amesema mtoto huyo ni mwanafunzi wa darasa la pili katika Shule ya Msingi Kabarimu.
“Alimpiga sehemu ya kisogo hivyo kusababisha kupoteza mwelekeo,” alisema Ng’anzi.
Chanzo: Mwananchi

Kulikoni MWASHITAKAMA!! mbona uhai wa binadamu hauonekani kuthaminiwa
 
Nashangaa mkuu. Miaka tisa ni wa kumfundisha tu. Unamchapa kichwani? Huyu mama ana wazimu. Kwanini asimchape basi matakoni tena kidogo tu!!!! Watoto wananyanyaswa sana!
Halafu baadae wanajitetea kiboya sana. Ndo mtoto anakosea ila sio kumchapa kichwani kabisa.
 
Nalinganisha situation we are in na hilo tukio,je uchumi wa kati tutafika lini haya yote ni kwa kuwa hali ya uchumi nchi nitete, kuna mtu anaitafuta buku kwa shida sana na akiipata hiyo buku ataifanyia bajeti kwa umakini, sasa umasikini ukichanganya na hasira unaweza fanya mambo ukajutia sana baadae, unaweza pata picha yani elfu nane imempa mama hasira za kumpiga mtoto wake mpaka kuua.... We are in worse situation.....

Yes hali ni mbaya but not hitting the little one's head!
 
Bunda. Mkazi wa Kitongoji cha Majengo Kata ya Kabarimu Wilaya ya Bunda Mjini mkoani Mara anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kumchapa mtoto wake Wakuru Rungu (9), viboko viwili kichwani na kumsababisha kifo.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mara, Ramadhan Ng’anzi amesema tukio hilo lilitokea Mei 15 saa kumi na moja jioni baada ya mama huyo kumtuhumu mwanaye kuiba Sh8,000.
Kamanda Ng’anzi amesema mtoto huyo ni mwanafunzi wa darasa la pili katika Shule ya Msingi Kabarimu.
“Alimpiga sehemu ya kisogo hivyo kusababisha kupoteza mwelekeo,” alisema Ng’anzi.
Chanzo: Mwananchi
Kuna wazazi wana sura za kibinadamu lakini rohoni ni wanyama
 
Kuna wazazi wana sura za kibinadamu lakini rohoni ni wanyama
Kweli kabisa kaka mkubwa. Nakumbuka tukio lilitokea Ruvuma sasa yule mama alikuwa anamtishia mwanae na maji ya moto kisa alisema ana tabia ya udokozi. Ila baadae akamuunguza kweli yule binti
 
Kweli kabisa kaka mkubwa. Nakumbuka tukio lilitokea Ruvuma sasa yule mama alikuwa anamtishia mwanae na maji ya moto kisa alisema ana tabia ya udokozi. Ila baadae akamuunguza kweli yule binti
Huko kanda ya ziwa na jirani zake kuna mambo ya kutisha sana
 
Back
Top Bottom