Malumbano ya hoja ITV, Tarehe 03 Septemba, 2015

Malumbano ya hoja ITV, Tarehe 03 Septemba, 2015

Wamesema hivi: ccm wao wataanzisha mahakama ya kushughulikia mafisadi; act wao wanataka kuwarejesha wananchi huko nyuma kwenye azimio la tabora wakati ukawa wao wameahidi kurejesha katiba mpya - transformative consitution.
Kwa maelezo yao ya ukawa inaelekea kwenye mabadiliko yanayohitajika kwa taifa hili
 
Back
Top Bottom