Wamesema hivi: ccm wao wataanzisha mahakama ya kushughulikia mafisadi; act wao wanataka kuwarejesha wananchi huko nyuma kwenye azimio la tabora wakati ukawa wao wameahidi kurejesha katiba mpya - transformative consitution.
Kwa maelezo yao ya ukawa inaelekea kwenye mabadiliko yanayohitajika kwa taifa hili
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.