Malori ya mkutano wa CCM

Ngalikihinja

JF-Expert Member
Joined
Sep 1, 2009
Posts
34,637
Reaction score
37,960
Haya bandugu, ukiliona lori limebeba watu wa kuhudhuria mkutano wa CCM jangwani leo hebu tupia namba zake hapa... Nimeliona moja likitokea Mbagala charambe mida hii lenye namba T327AWV FUSO
 
Haya bandugu, ukiliona lori limebeba watu wa kuhudhuria mkutano wa CCM jangwani leo hebu tupia namba zake hapa... Nimeliona moja likitokea Mbagala charambe mida hii lenye namba T327AWV FUSO

Tupia ili iweje..?
 
tuweke wazi hizo namba zitakusaidia nini?
 
Wapinzani presha inapanda presha inashuka..mnaweweseka.
 
Haya bandugu, ukiliona lori limebeba watu wa kuhudhuria mkutano wa CCM jangwani leo hebu tupia namba zake hapa... Nimeliona moja likitokea Mbagala charambe mida hii lenye namba T327AWV FUSO

ikiwezekana hata picha kabisa,mie niko jangwani kwa sasa naona wanaendelea kusomba viti vya plastic vyeupe viko kama 1,000 na kujenga stage na wanaandaa mabango.Full ulaghai ukipita mgao wa 10,000 nitakujuza.
 
Wapinzani presha inapanda presha inashuka..mnaweweseka.

Tuko Jangwani tunasubiri mgao kwani hapa tunakuja kuchukua ili tukachangie kwa pipoz power.

Kama hujafika nijulishe nikupe update.
 
Wanapelekwa Jangwani muda huu kwani mkutano unaanza saa ngapi?
Au wao ni solar pannels wanaenda kuzalisha umeme ili utumike mkutano utakapoa anza?
Haya bandugu, ukiliona lori limebeba watu wa kuhudhuria mkutano wa CCM jangwani leo hebu tupia namba zake hapa... Nimeliona moja likitokea Mbagala charambe mida hii lenye namba T327AWV FUSO
 
Sijawahi kula pesa ya magamba mgao ukipita naombeni mnijuze
 
Mi ntakuja na pilipili na ndizi kwa ajili ya wali-ngo'mbe.
 
watanzania tunanunuliwa hata kwenye haki? aibu sana kweli umasikini ni mbaya sana. tufikirie kama unawekwa kwenye lori kama ng'ombe za usukumani zikiletwa dar kuchinjwa au viazi mviringo kutoka uporoto tukuyu aibu sana
 
Nyuso za vijana ziko CDM mioyo yao iko CCM this is the truth.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…