luckyline
JF-Expert Member
- Aug 29, 2014
- 15,160
- 21,672
Gdmorning everybody,
Wandugu leo ni siku ya wanawake duniani kote. Tunasheherekea na kufurahi. Lakini sio kusheherekea tu bali ni kujivunia jinsi tulivyo wanawake wa nguvu na maendeleo tunayoyafanya kwenye jamii.
Wanawake tunaweza hata bila kuwezeshwa. Ingawa wawezeshaji wakiwezesha hakuna shida maana ni moja ya majukumu yao.
Basi nichukuwe nafasi hii kumshukuru malkia wangu wa nguvu mama yangu mzazi kipenzi kwa malezi mazuri kweli ni malkia wangu wa nguvu siku ya leo.
Luckyline mimi ni malkia wa nguvu ni mchapakazi kwakweli nakushukuru Mungu kuniumba nikiwa mwanamke wa nguvu.
Na la msingi nakushukuru mungu siku ya leo kunipa kazi mpya kweli nimejiona malkia wa nguvu zaidi.
(" uzuri wa ndege manyoa, ila uzuri wa mwanamke kujiamini")
Wanawake wa nguvu wanaojiamini kama mm njooni hapa tuseme lolote juu ya siku yetu ya leo na kubwa zaidi nambie malkia wako wa nguvu leo ni nani?
Qn. Nasikia alipo malkia wa nguvu kuna mfalme wa nguvu ni kweli?
Wandugu leo ni siku ya wanawake duniani kote. Tunasheherekea na kufurahi. Lakini sio kusheherekea tu bali ni kujivunia jinsi tulivyo wanawake wa nguvu na maendeleo tunayoyafanya kwenye jamii.
Wanawake tunaweza hata bila kuwezeshwa. Ingawa wawezeshaji wakiwezesha hakuna shida maana ni moja ya majukumu yao.
Basi nichukuwe nafasi hii kumshukuru malkia wangu wa nguvu mama yangu mzazi kipenzi kwa malezi mazuri kweli ni malkia wangu wa nguvu siku ya leo.
Luckyline mimi ni malkia wa nguvu ni mchapakazi kwakweli nakushukuru Mungu kuniumba nikiwa mwanamke wa nguvu.
Na la msingi nakushukuru mungu siku ya leo kunipa kazi mpya kweli nimejiona malkia wa nguvu zaidi.
(" uzuri wa ndege manyoa, ila uzuri wa mwanamke kujiamini")
Wanawake wa nguvu wanaojiamini kama mm njooni hapa tuseme lolote juu ya siku yetu ya leo na kubwa zaidi nambie malkia wako wa nguvu leo ni nani?
Qn. Nasikia alipo malkia wa nguvu kuna mfalme wa nguvu ni kweli?