....Kulitokea wazazi wawili walio mzaa mtoto mmoja wa kiume nae hakuwa na kichwa, baada ya kumfanyia oparesheni,madaktari waliwataka wazazi wa mtoto wakubali mtoto wao awekewe boga ili ndo liwe kichwa. Wazazi wa mtoto wakakubaliana na Madaktari baada ya muda mtoto alikuwa na kuwa m2 mzima na kuwa kiongozi mkuu wa kaya ya wadanga....k. Hadith yangu haijaishia hapa, mwingne aendelee....