Malipo ya wasanii kweli bado yapo??

super mimi

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2016
Posts
223
Reaction score
173
Heshima kwenu wanajamvi...
Nakumbuka kuna kipindi serikali ilitangaza kwamba kila wimbo utakaopigwa redioni basi msanii husika atalipwa kiasi flani cha pesa. Kwa anayejua kuhusu suala hili tujuzane, utaratibu huu bado upo?
 
Mmm itakuwa ni kenya sio tanzania nchi ya matamko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…