Fomu ya maombi iko kwa mujibu wa sheria inaitwa land form no 19 malipo yake inategemea halmashauri husika ilivyopanga in most cases halmashauri nyingi zinachaji elfu kumi,malipo mengine ni gharama za kiwanja kama premium kulingana na rate ya kuuzia mita moja ya mraba ya ardhi kutokana na matumizi ya ardh husika,gharama za upimaji na ramani pamoja na gharama za umiliki kama utayarishaji wa hati,kodi ya ardhi,usajili wa hati,stamp duty ambazo zipo kwa mujibu wa sheria.