Kunguru wa Manzese JF-Expert Member Joined Apr 20, 2016 Posts 12,729 Reaction score 18,207 Jul 18, 2022 #61 Pau Bae said: Watu mnafufua thread Click to expand... Uzi wa 2012 huu niko form 3 wakati huo
H HeyItsP JF-Expert Member Joined Oct 9, 2021 Posts 3,750 Reaction score 9,999 Jul 18, 2022 #62 Kunguru wa Manzese said: Uzi wa 2012 huu niko form 3 wakati huo Click to expand... ndo kwanza form one😹😹😹😹😹😹 mambo magumu kwakweli
Kunguru wa Manzese said: Uzi wa 2012 huu niko form 3 wakati huo Click to expand... ndo kwanza form one😹😹😹😹😹😹 mambo magumu kwakweli
Kunguru wa Manzese JF-Expert Member Joined Apr 20, 2016 Posts 12,729 Reaction score 18,207 Jul 18, 2022 #63 Pau Bae said: ndo kwanza form one mambo magumu kwakweli Click to expand... Kwakweli kabisa
Yimakatso JF-Expert Member Joined Jul 11, 2015 Posts 7,774 Reaction score 11,255 Jul 18, 2022 #64 Uzi wa 2012 bado haukupata majibu halisi ya malipo ya karani, msimamizi wala mtu wa IT.
bravocharlie JF-Expert Member Joined Feb 1, 2020 Posts 861 Reaction score 860 Jul 18, 2022 #65 Kunguru wa Manzese said: Uzi wa 2012 huu niko form 3 wakati huo Click to expand... Hahahahah
Kunguru wa Manzese JF-Expert Member Joined Apr 20, 2016 Posts 12,729 Reaction score 18,207 Jul 18, 2022 #66 bravocharlie said: Hahahahah Click to expand... watu wanafukua makaburi
Dodoma messengers JF-Expert Member Joined Aug 28, 2019 Posts 604 Reaction score 952 Jul 18, 2022 #67 Hadi sasa,hakuna jibu la malipo sahihi ya makarani,ITs na wasimamizi wa maudhui.
Dodoma messengers JF-Expert Member Joined Aug 28, 2019 Posts 604 Reaction score 952 Jul 18, 2022 #68 Kutopatikana majibu stahki ya malipo,inaonyesha humu tuna watu wa juujuu,yaani wasiojua ya ndani.
Vishu Mtata JF-Expert Member Joined Dec 15, 2019 Posts 20,551 Reaction score 44,323 Jul 18, 2022 #69 Yaani wabongo tukishapataga ni kama tunayasahau kabisa ya nyuma. Huu uzi watu kibao nahisi walipata ila wakiona tu comments za huu uzi wanapuuza tu coz washafanikisha. Kama wangerudi kutoa mrejesho ule uzi wetu pendwa wala kusingekua na minyukano ya hali ya juu.
Yaani wabongo tukishapataga ni kama tunayasahau kabisa ya nyuma. Huu uzi watu kibao nahisi walipata ila wakiona tu comments za huu uzi wanapuuza tu coz washafanikisha. Kama wangerudi kutoa mrejesho ule uzi wetu pendwa wala kusingekua na minyukano ya hali ya juu.
Mwifwa JF-Expert Member Joined Apr 3, 2017 Posts 48,718 Reaction score 126,563 Jul 18, 2022 #70 Chonde chonde msije mkatufanyie kama Ngoswe, Takwimu tunazihitaji sana ili tuimarishe milo yetu kwa urefu wa kamba zetu
Chonde chonde msije mkatufanyie kama Ngoswe, Takwimu tunazihitaji sana ili tuimarishe milo yetu kwa urefu wa kamba zetu
H HeyItsP JF-Expert Member Joined Oct 9, 2021 Posts 3,750 Reaction score 9,999 Jul 18, 2022 #71 Mwifwa said: Chonde chonde msije mkatufanyie kama Ngoswe, Takwimu tunazihitaji sana ili tuimarishe milo yetu kwa urefu wa kamba zetu Click to expand... I wish ningekua mazoea😅😅 sioati picha
Mwifwa said: Chonde chonde msije mkatufanyie kama Ngoswe, Takwimu tunazihitaji sana ili tuimarishe milo yetu kwa urefu wa kamba zetu Click to expand... I wish ningekua mazoea😅😅 sioati picha
The Garang JF-Expert Member Joined Jan 16, 2018 Posts 2,890 Reaction score 4,865 Jul 18, 2022 #72 Kunguru wa Manzese said: Uzi wa 2012 huu niko form 3 wakati huo Click to expand... ahahhah nlikuwa form 2
Kunguru wa Manzese said: Uzi wa 2012 huu niko form 3 wakati huo Click to expand... ahahhah nlikuwa form 2
AKAN JF-Expert Member Joined Oct 23, 2016 Posts 1,135 Reaction score 1,144 Jul 18, 2022 #73 Kunguru wa Manzese said: Uzi wa 2012 huu niko form 3 wakati huo Click to expand... nlikuwa form 4....
Kunguru wa Manzese said: Uzi wa 2012 huu niko form 3 wakati huo Click to expand... nlikuwa form 4....
Kunguru wa Manzese JF-Expert Member Joined Apr 20, 2016 Posts 12,729 Reaction score 18,207 Jul 18, 2022 #74 AKAN said: nlikuwa form 4.... Click to expand... Matokeo yenu yalikuwa mabaya sana Waliopasaua hua mwaka much respect sana
AKAN said: nlikuwa form 4.... Click to expand... Matokeo yenu yalikuwa mabaya sana Waliopasaua hua mwaka much respect sana
Kunguru wa Manzese JF-Expert Member Joined Apr 20, 2016 Posts 12,729 Reaction score 18,207 Jul 18, 2022 #75 The Garang said: ahahhah nlikuwa form 2 Click to expand... Nyie ndio wa GPA
The Garang JF-Expert Member Joined Jan 16, 2018 Posts 2,890 Reaction score 4,865 Jul 18, 2022 #76 Kunguru wa Manzese said: Nyie ndio wa GPA Click to expand... ahahahah yes kaka tangu BRN hukoo
The Garang JF-Expert Member Joined Jan 16, 2018 Posts 2,890 Reaction score 4,865 Jul 18, 2022 #77 Kunguru wa Manzese said: Matokeo yenu yalikuwa mabaya sana Waliopasaua hua mwaka much respect sana Click to expand... yes nakumbuka kama matokeo walitoa mara mbili, bro wangu nae alikuwa mhanga
Kunguru wa Manzese said: Matokeo yenu yalikuwa mabaya sana Waliopasaua hua mwaka much respect sana Click to expand... yes nakumbuka kama matokeo walitoa mara mbili, bro wangu nae alikuwa mhanga
Mwifwa JF-Expert Member Joined Apr 3, 2017 Posts 48,718 Reaction score 126,563 Jul 18, 2022 #78 Pau Bae said: I wish ningekua mazoea😅😅 sioati picha Click to expand... 🤣🤣🤣🤣
MANGAMANGA21 JF-Expert Member Joined Oct 17, 2014 Posts 229 Reaction score 231 Jul 19, 2022 #79 2nd year nikiwa field nikalamba dodoso refu. Time flies
AKAN JF-Expert Member Joined Oct 23, 2016 Posts 1,135 Reaction score 1,144 Jul 19, 2022 #80 Kunguru wa Manzese said: Matokeo yenu yalikuwa mabaya sana Waliopasaua hua mwaka much respect sana Click to expand... me ni mmoja ya waliopasua pepa kabla ya kufutwa yale matokeo ya kwanza
Kunguru wa Manzese said: Matokeo yenu yalikuwa mabaya sana Waliopasaua hua mwaka much respect sana Click to expand... me ni mmoja ya waliopasua pepa kabla ya kufutwa yale matokeo ya kwanza