prakatatumba
JF-Expert Member
- Oct 17, 2011
- 1,328
- 192
Mi barua nimepata, kuna wasimamizi na makarani, makarani wamegawanyika(wa dodoso fupi na refu). Mi nimechaguliwa kama msimamizi wa kata moja hivi. Tuko wasimamizi wanne. Ni tshs. 780,000, makarani wa dodoso refu ni 670,000(sh.35,000 kwa siku 1xsiku 11 za semina, siku 7 za field ni sh.250,000/= na tsh. 35000 za nauli kwa siku 7 za field). Nadhani umenielewa boss. Kama hujaelewa niPM nipe email adress nikutumie copy ya barua kwani inaeleza.
Inawezekana wewe ndio hujui kusoma,hebu soma neno lake la mwisho. Ukimaliza wala usinijibu,kojoa ukalale
Mi barua nimepata, kuna wasimamizi na makarani, makarani wamegawanyika(wa dodoso fupi na refu). Mi nimechaguliwa kama msimamizi wa kata moja hivi. Tuko wasimamizi wanne. Ni tshs. 780,000, makarani wa dodoso refu ni 670,000(sh.35,000 kwa siku 1xsiku 11 za semina, siku 7 za field ni sh.250,000/= na tsh. 35000 za nauli kwa siku 7 za field). Nadhani umenielewa boss. Kama hujaelewa niPM nipe email adress nikutumie copy ya barua kwani inaeleza.
Mi barua nimepata, kuna wasimamizi na makarani, makarani wamegawanyika(wa dodoso fupi na refu). Mi nimechaguliwa kama msimamizi wa kata moja hivi. Tuko wasimamizi wanne. Ni tshs. 780,000, makarani wa dodoso refu ni 670,000(sh.35,000 kwa siku 1xsiku 11 za semina, siku 7 za field ni sh.250,000/= na tsh. 35000 za nauli kwa siku 7 za field). Nadhani umenielewa boss. Kama hujaelewa niPM nipe email adress nikutumie copy ya barua kwani inaeleza.
Inawezekana wewe ndio hujui kusoma,hebu soma neno lake la mwisho. Ukimaliza wala usinijibu,kojoa ukalale
acha ubishi prakatatumba.
Pipo of ur kind mpo wengi ngoja nikupotezee tu
mkuu 2nashukuru 2mekupata ila
ujaeleza wale wa dodoso fupi wanalipwaje mkuu 2weke waz mwenye
kielelezo thabiti.
Dodoso fupi itakuwa chini ya hiyo 780,000 kwa vyovyote!
Braza kusoma hujui
Mi barua nimepata, kuna wasimamizi na makarani, makarani wamegawanyika(wa dodoso fupi na refu). Mi nimechaguliwa kama msimamizi wa kata moja hivi. Tuko wasimamizi wanne. Ni tshs. 780,000, makarani wa dodoso refu ni 670,000(sh.35,000 kwa siku 1xsiku 11 za semina, siku 7 za field ni sh.250,000/= na tsh. 35000 za nauli kwa siku 7 za field). Nadhani umenielewa boss. Kama hujaelewa niPM nipe email adress nikutumie copy ya barua kwani inaeleza.
Haya PM nitumie kwenye Email yangu....Steki1989@yahoo.com
Hiyo lugha rekebisha. Vp upo dodoso fupi au refu?
Dodoso ndefu
Hapa umeeleweka mkuu,upo kata ipi?