Endapo utakua na Madeni unayodaiwa na Benki ama taasisi yoyote ya Kifedha. Pia inategemea MU/Memorundum of Understanding wa Taasisi iliyokukopesha inasemaje. Mostly suala la Mtumishi kuacha kazi ama kufukuzwa nk MIKOPO MINGI IMEKATIWA BIMA NA BENKI HUSIKA, na hiyo bima uliilipia pindi unakopa hua inawekwa kwenye gharama zinazoitwa Loan Processing Fee. So endapo ajira yako ITASITA kwa sababu zozote Benki italipwa na Bima deni la Mkopo wako. Ngoja wataalam wa Benki waje waongezee. Over