Malipo ni hapa hapa duniani

Malipo ni hapa hapa duniani

neikia

Member
Joined
Feb 20, 2014
Posts
25
Reaction score
5
Mungu ameamua kufichua uovu aliotendewa mtoto nasra aliyeishi kwenye box siku chache kabla ya umauti wake ili wahusika wapate machungu.maana huyu mtoto angefariki akiwa bado kwa mama yake mkubwa ukweli ungefichwa na wangeendelea kula bata , acha na hao waonje machungu hapa duniani.
 
Back
Top Bottom