Mungu ameamua kufichua uovu aliotendewa mtoto nasra aliyeishi kwenye box siku chache kabla ya umauti wake ili wahusika wapate machungu.maana huyu mtoto angefariki akiwa bado kwa mama yake mkubwa ukweli ungefichwa na wangeendelea kula bata , acha na hao waonje machungu hapa duniani.