emmadeclassic
JF-Expert Member
- Sep 28, 2015
- 304
- 133
Najiuliza tu hivi serikali inakuaga na bajeti ya intern Doctors au hua ni mpaka wazitafute, kama zipo kwenye bajeti kwanini zisitolewe on time? Imagine tupo hospitalini toka 10 november hapo tulitumia zaidi ya malaki kufata provisional registration MCT dodoma (mzigo kwa wazazi).
AUkizingatia mazingira kwa wengi wetu ni mapya tulipanga kujiegesha kwa kulipa mwezi mmoja sasa umeisha na hakuna dalili yoyote ya kupata, serikali kwanini msitoe hela mapema tujikimu..chakusikitisha zaidi ni mwezi sasa hatujapewa logbook ambazo tulizilipia 10k, huo usajili tu 40k ,nauli kama upo rukwa ni zaidi ya 100k.
AUkizingatia mazingira kwa wengi wetu ni mapya tulipanga kujiegesha kwa kulipa mwezi mmoja sasa umeisha na hakuna dalili yoyote ya kupata, serikali kwanini msitoe hela mapema tujikimu..chakusikitisha zaidi ni mwezi sasa hatujapewa logbook ambazo tulizilipia 10k, huo usajili tu 40k ,nauli kama upo rukwa ni zaidi ya 100k.
