Malalamiko kwa TRA Mwanza

Koryo2

JF-Expert Member
Nov 28, 2016
2,056
2,515
Jana katika vibanda vya Nyakato National TRA walipita wakikusanya kodi ya vibanda kuwa kila kibanda ni Ttshs.375,000. Hawaelezi ni sheria gani inayotumika kukusanya kodi hiyo. Kama ni kodi za nyumba (Property Tax) vibanda siyo nyumba. Natarajia kwenda Mahakamani ili watafsiri ni sheria gani inayotumika kukusanya kodi husika.
 
sawa nenda mahakamani



Mleta mada ushauri hebu tembelea ofisi za TRA hapo huwa kuna ofisi ya Huduma na Elimu waulize maana kwa sasa utapeli umekuwa mkubwa.navyofahamu mimi ofisa wa serikali anapokuwa kikazi ni wajibu kujitambulisha na kitambulisho chake,pili TRA navyojua huwa wanatoa Waraka wa kodi kwa muhusika ili akalipie benki,tatu kodi huwa inatozwa na mzunguko wa biashara hivo ,inawezekana hao ni matapeli maana sasa hivi wamekuwa wengi.ukiona mtu anadai ni TRA hebu muombe kitambulisho ujiridhishe maana mjini matapeli ni wengi wanatafuta fursa.
 
Mleta mada ushauri hebu tembelea ofisi za TRA hapo huwa kuna ofisi ya Huduma na Elimu waulize maana kwa sasa utapeli umekuwa mkubwa.navyofahamu mimi ofisa wa serikali anapokuwa kikazi ni wajibu kujitambulisha na kitambulisho chake,pili TRA navyojua huwa wanatoa Waraka wa kodi kwa muhusika ili akalipie benki,tatu kodi huwa inatozwa na mzunguko wa biashara hivo ,inawezekana hao ni matapeli maana sasa hivi wamekuwa wengi.ukiona mtu anadai ni TRA hebu muombe kitambulisho ujiridhishe maana mjini matapeli ni wengi wanatafuta fursa.
Ni kwl kama ulivyosema... matapeli ni wengi sana ukiilaumu TRA unakuwa unakosea... au weka evidence kwamba ni TRA...
 
Back
Top Bottom