Makundi haya yameishia wapi?

Makundi haya yameishia wapi?

Ziroseventytwo

Platinum Member
Joined
Mar 27, 2011
Posts
9,217
Reaction score
17,203
Miaka ya 90 kulikua na makundi ya wanamziki haswa wa kimarekani yaliyokuwa yakitamba. Kwa sasa hayasikiki tena. Nini kimeyasibu makundi haya.? Kwa mfano Boyz ll men, Soul 4 real, KCI & JOJO, Black street boyz, 112, dru hill na hat wakongwe Naughty by nature! kwa upande wa wanadada walikuwapo TLC, Salt n paper,(SWV)sister with voice, Changing faces, nk Makundi haya yalitamba sana wasani waliokuwa wakiunda makundi haya kwa sasa wako wapi? Wanafanya sanaa bd?
 
Back
Top Bottom