Hiki ndio ninachosema mimi kila siku, wangeacha majengo ya city center yawe kama yalivyo, yangefanyiwa ukarabarati wa hali ya juu tu. Dar ingekuwa unique city, na haya majingo ya vioo yangejengwa huku Kijitonyama, Ilala, Kigamboni mbona nafasi zipo tu. Nasikitika Sana nikiona Dar inavyobadirika.