MAKTABA ZA SHULE

mkorobwe

Member
Joined
Sep 28, 2018
Posts
38
Reaction score
32
SALAMU NYOTE
Moja kwa moja kwenye mada.
kwa muda mrefu kumekua na kilio ya kua Waafrika tuliowengi hatuna utamaduni wa kujisomea (na kwahakika huu ni ukweli). Lakini suali kubwa hapa jee utamaduni huu ni mzuri? bila shaka jawabu litakuwa Hapana bali huu ni utamaduni mbaya!

ikiwa ni hivyo serikali, wasomi na jamii kwa ujumla inafanya jitihada gani kuondosha utamaduni huu mbaya?

kwa upande wangu naona kua jambo moja kubwa la kufanya ni kuboresha huduma za maktaba za shule kwa kuajiri Wakutubi ( Librarrians) kwani hivi sasa hii imekua ni profession yenye watendaji wake walioweledi. Pili kujenga miundombinu km vile vyumba vya maktaba, Thamani (funitures) pamoja na vitabu, kwani hali ilivyo sasa vyumba vingi maktaba za shule ama zimegeuzwa ofisi ya walimu au ghala la shule.

kwenye hili mjadalaumefunguliwa.
 
furniture ni

Ni SAMANI √

Sio THAMANI ×
 

kaka pitia tena naona umeruka huu mstari
Pili kujenga miundombinu km vile vyumba vya maktaba, Thamani (funitures) pamoja na vitabu, kwani hali ilivyo sasa vyumba vingi maktaba za shule ama zimegeuzwa ofisi ya walimu au ghala la shule
 
Profession yng haikuhusu lkn ikutoshe kuaa nina ajira na assert nyengine. kilichonisukuma kuleta uzi huu ni mapenzi yangu tu ya maendeleo ya elimu Tanzania
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…