Makosa ya barabarani

Makosa ya barabarani

teac kapex

JF-Expert Member
Joined
Jan 23, 2011
Posts
470
Reaction score
137
Naomba kujua, kama nikikamatwa na traffic na nikawa sina namna ya kulipa faini kwa kosa la kutofunga mkanda, na ikaonekana nipelekwe mahakamani je kule kuna kipengele chochote kinachoweza kunisaidia?
 
Traffic akikukamata anatakiwa akuandikie notification ambayo unatakiwa ukalipe ndani ya siku saba na upewe stakabadhi. Wengi wetu tunalipa papo hapo na bila ya kupewa stakabadhi na badala yake tunapewa notification tu, kitu ambacho si sahihi. Kwa hiyo mahakamani hupelekwi immediate ilaa ni baada ya siku za notification kwisha
 
Nilikuwa nakusudia kuwaambia waniandikie kwenda mahakamani maana sina hela ya kulipa faini kwa sasa nategemea kupata j3 je hilo lina madhara?
 
Toka asubuhi wameniweka hapa kituoni na funguo wanayo sina hela lkn ninaweza kuhudhuria mahakamani j3 ikiwezekana. Ushauri wenu jamani.
 
Back
Top Bottom