Makontena yaliyokamatwa jana na TRA yabainika yalilipiwa kodi

Teh teh kuna jamaa yangu nilimpa contact na jamaa wa TRA bandarini kufika anampigia simu jamaa anaogopa kutoka nje.mpaka nikampigia kumwambia ni mtu wangu ndio akatoka.anasema anaogopa anaweza kutoka kumbe ndio anakamatwa.sasa hivi mambo hayaelekwi kila mtu anataka kuonekana anachapa kazi.
 
Pamoja na nia nzuri ya Magufuli lakini awe makini...itafika mahali watamchomekea kwa lengo la kumdhalilisha kama ambavyo walishawahi mfanyia kikwete.

nimeipenda hii,fikiria kwanini wasiyashushe Bagamoyo?,kwanini yasafirishwe usiku?,kwanini madereva hawakujua wanaenda wapi?,kwanini mzigo haukuambatana na nyaraka zake?,Je?document ambayo imekwepa kugongwa mhuri kama imeshatumika haiwezi kutumika kusafirishia mzigo mwingine?,nashauri huyo tajiri aoneshe consignment nzima na mzigo ulifika lini,ukawekwa bandari ya nchi kavu lini, na kwanini uliwekwa mahali siyo,je hiyo haina uhusiano na hiyo exemption ya mzigo huo,kwa maana ulitaka kutumiwa sivyo.
 
Jeshi la polisi na TRA walikuwa wana jiridhisha na ndio kazi yao na hawakukosea kabisa watu wanatakiwa kusafirisha mizigo wakiwa na documents....

Kwao unataka watu waonewe ndio uone kazi inafanyika? wakikamatwa mna lalama wakiachiwa mna lalama! Serikali haito muonea mtu na usitegemee wafanye kazi kwa matakwa yako.

Shida moja kwanba kwenye ukweli siku zote watu wengi hutokea kuupinga sasa leo hi i unasema kuwa kaonewa wapi tra walipokama walikuwa hawajui kuwa container hizo hazijalipiwa ushuru au zimelipiwa mbona wote mnataka kutufanya watoto ,hamna lolote .watu wanakweka kodi wanasafishwa yule mdogo anayeangaika kulipa kodi ndio anasumbuliwa waziri wa fedha naibu wake wako huru wa serikali hii ambapo ufisadi ndio umepitia
 
Makontena yaliyokamatwa Mbezi yamebainika yamejaa vyuma kwa ajili ya ujenzi wa EPZ-A Bagamoyo, pia yalikuwa yamelipiwa ushuru stahiki, ukiachilia "exemption" yaliyokuwa nayo.

Beatus Kaboja, ED Heritage Empire LTD



===========================


My Take: Nimesikitika sana, pia nimeumizwa sana na kitendo cha TRA na polisi kufanya kazi kisiasa bila weledi.

Leo vyombo vingi vya habari na magazeti wameripoti kontena Tisa zilizokamatwa wakidai zilitoroshwa usiku wa manane

Taarifa ya habari maarufu habari ya saa afisa mahusiano ameonyesha nyaraka zote na hata afisa wa tra amekiri hakukuwa na ukiukwaji wa sheria na kontena zilibeba vifaa vya ujenzi wa kiwanda km nyaraka zinavoonesha na zililipiwa kodi.

Kasi ya magufuli isitumiwe vibaya kuchafua credibility za wafanyabiara wetu.

Please argue, don't shout!

Taarifa za awali kutoka TRA znasema Yale makontena yalikua yanatakiwa yaende kwenye ICD moja Ubungo, pia madereva hata walikua hawajui yanakwenda wapi. Leo wanasema yalikua yanaenda Bagamoyo.

Hapa iko namna tu
 
Last edited by a moderator:
Swala lilikuwa ni kuwa yale makontena hayakutakiwa kuwa pale bali yalitakiwa kuwa bandari ya nchi kavu ya EPZ A...! Pale yalipokutwa si mahala husika...hapo lazima kuna mwanya wa ukwepaji wa kodi....

Kaka kama unapotosha vile..maana kama umeangalia hiyo habari ya ITV ni kwamba; pale yalipokuwa ni storage area na si mahala tu kama unavyodhani wewe..ni ICD pia iliyopo ki halali. Na mwekezaji aliamua kuyahifadhi pale kwa makusudi yake. Hivyo basi wale wa TRA na Polisi wanavitengo vya upelelezi wangefuatilia kwa ukaribu sana kasha ndio wafanye media coverage kuonyesha wanafanyakazi. Si vyema kufanyakazi kwa kutafuta kick..anyway hata hivyo wahenga wanasema wasiwasi ndio akili..
 
Kaka kama unapotosha vile..maana kama umeangalia hiyo habari ya ITV ni kwamba; pale yalipokuwa ni storage area na si mahala tu kama unavyodhani wewe..ni ICD pia iliyopo ki halali. Na mwekezaji aliamua kuyahifadhi pale kwa makusudi yake. Hivyo basi wale wa TRA na Polisi wanavitengo vya upelelezi wangefuatilia kwa ukaribu sana kasha ndio wafanye media coverage kuonyesha wanafanyakazi. Si vyema kufanyakazi kwa kutafuta kick..anyway hata hivyo wahenga wanasema wasiwasi ndio akili..

Magimbi,

Sidhani Kama uko sahihi hapo kwenye nyekundu usipotoshe UMMA.
PALE YALIPOKAMATWA MAKONTENA SIO ICD kwa taarifa yako. Na Msemaji wa TRA jana alieleza hivyo, kwamba ile sehemu haiko kwenye orodha ya ICD kwenye System ya TRA. Na kwenye kila ICD, TRA huwa wana ofisi zao huko. Inawezekana ikawa ni storage; Ila Kama ni storage kwa nini mizigo haikuwa na Documents husika !!!???? Hata copied Docs.

Ufuatiliaji wa hayo makontena ulishafanywa kwa muda mrefu, na ndio maana yalipokuwa yanaamishwa usiku wa manane vyombo vya Dola vilikuwa na taarifa muhimu kuweza Kuwaitia jamaa mikononi mwa Dola.
SERIKALI HAIKURUPUKI. Sio kila kitu kinaweza kuwekwa wazi humu. Kama uko TRA au una ndugu yako huko KAENI CHONJO. Kuna wafanyakazi wapya 140 wameajiriwa TRA hivi tunavyoongea. JIULIZE kwa nini!?
 
Makontena yaliyokamatwa Mbezi yamebainika yamejaa vyuma kwa ajili ya ujenzi wa EPZ-A Bagamoyo, pia yalikuwa yamelipiwa ushuru stahiki, ukiachilia "exemption" yaliyokuwa nayo.

Beatus Kaboja, ED Heritage Empire LTD



===========================


My Take: Nimesikitika sana, pia nimeumizwa sana na kitendo cha TRA na polisi kufanya kazi kisiasa bila weledi.

Leo vyombo vingi vya habari na magazeti wameripoti kontena Tisa zilizokamatwa wakidai zilitoroshwa usiku wa manane

Taarifa ya habari maarufu habari ya saa afisa mahusiano ameonyesha nyaraka zote na hata afisa wa tra amekiri hakukuwa na ukiukwaji wa sheria na kontena zilibeba vifaa vya ujenzi wa kiwanda km nyaraka zinavoonesha na zililipiwa kodi.

Kasi ya magufuli isitumiwe vibaya kuchafua credibility za wafanyabiara wetu.

Please argue, don't shout!

Acha kuwa muongo we kijana, unajua unadeal na watu wenye kaliba mbalimbali, kwa taarifa yako hayo makontena ni kweli yalikuwa yamelipiwatoka mwezi wa tisa na mengine yamelipiwa mwezi wa kumi na moja tarehe sita, ila kitu cha kilichowastua maofisa wa TRA ni kwamba yale makontena pamoja ya kwamba yalilipiwa kodi ila sababu hayakuondolewa tarehe iliyotakiwa kuondoka ndio maana yalipaswa kulipiwa Custom Warehouse fee ambayo hayakulipiwa.

So hata kama walikuwa na kibali ila kilikuwa kimeexpire na kilichowastua maofisa ni kuona makontena yale yakisafirishwa kutoka bandarini majira ya usiku sana. Ndipo walipokuja kuangalia vibali ndipo wakashangaa kwamba kibali kilikuwa kimeexpire na yale makontena yalikuwa yanadaiwa bado.

So kuwa mkweli mzee
 
Last edited by a moderator:
Umenena vizuri kana kwamba containers ni za kwako. Kama ni zako, unajua hatua za kuchukua. Kama si zako, kwa wana JF tuache kuwasemea watu. Tulikotoka sote tunakujua vizuri na ndiyo maana UPINZANI ulitaka mabadiliko kwa kuwa Serikaoli ya CCM ilishindwa kuchukua hatua kali kwa wahujumu uchumi. Hatua za Serikali ya 5 ni madhubuti na uenda kutakuwa na watakaoumia kwa makosa ya makusudi ya watendaji. Hata huku JF tunatoa Kila siku shutuma zisizo na ukweli.

Kuna ulazima wa Serikali ya 5 kuthubutu na kuchukua hatua kali kwa wazembe na wahujumu uchumi, kurejesha nchi mikononi mwetu sote wananchi.

TAFAKARI CHUKUA HATUA

safi sana mkuu......hata watakao miss use hii Kasi nao watawajibishwa......"Hapa ni Kaaaaaaaazi Tu!!"
 
Khaa!! Chezea mtumbua majipu. Wapiga dili wamepotezana. Sasa wanafanyakazi kwa kasi kubwa hadi wanapitiliza. Jipu linauma bana usipime :cool:
 
Makontena yaliyokamatwa Mbezi yamebainika yamejaa vyuma kwa ajili ya ujenzi wa EPZ-A Bagamoyo, pia yalikuwa yamelipiwa ushuru stahiki, ukiachilia "exemption" yaliyokuwa nayo.

Beatus Kaboja, ED Heritage Empire LTD



===========================


My Take: Nimesikitika sana, pia nimeumizwa sana na kitendo cha TRA na polisi kufanya kazi kisiasa bila weledi.

Leo vyombo vingi vya habari na magazeti wameripoti kontena Tisa zilizokamatwa wakidai zilitoroshwa usiku wa manane

Taarifa ya habari maarufu habari ya saa afisa mahusiano ameonyesha nyaraka zote na hata afisa wa tra amekiri hakukuwa na ukiukwaji wa sheria na kontena zilibeba vifaa vya ujenzi wa kiwanda km nyaraka zinavoonesha na zililipiwa kodi.

Kasi ya magufuli isitumiwe vibaya kuchafua credibility za wafanyabiara wetu.

Please argue, don't shout!
hii ni aibu kubwa sana kwa jeshi la polisi , bila shaka laana ya alfonce mawazo imeanza kufanyakazi .
 
Last edited by a moderator:
kuna mtu alisifiwa ana mbio sana , basi siku iliyofuata akatimka zaidi hadi akapitiliza kwao !
 
MI nangoja mikataba ya gesi na madini ndio ntajua nchi ina wazalendo...najua itachukua miaka kugusa hzo sehemu LAKIN naomba niwe hai kwenye utawala wa muheshimiwa rais mpya ...akipita uko nna hakika mwanangu hatakaa chini wala mjukuuu wangu.....
 
Kaka kama unapotosha vile..maana kama umeangalia hiyo habari ya ITV ni kwamba; pale yalipokuwa ni storage area na si mahala tu kama unavyodhani wewe..ni ICD pia iliyopo ki halali. Na mwekezaji aliamua kuyahifadhi pale kwa makusudi yake. Hivyo basi wale wa TRA na Polisi wanavitengo vya upelelezi wangefuatilia kwa ukaribu sana kasha ndio wafanye media coverage kuonyesha wanafanyakazi. Si vyema kufanyakazi kwa kutafuta kick..anyway hata hivyo wahenga wanasema wasiwasi ndio akili..
Hata hivyo bado hakuna kosa lolote kujiridhisha kama kodi yetu imelipwa!
Nalipongeza jeshi la polisi na TRA..
 
Mleta mada alijenga katika hifadhi ya barabara ndio maana anamchukia sana magufuli

Su, AssardSyria ni beneficiary wa mfumo wa uongozi uliopita ni lazima apige kelele kwani wanaumbuka
 
Yeye mwenyewe kashindwa taja mali zake na Nyumba za serikali kagawia vimada na zingine kuhuza ajitumbue kwanza yeye.



swissme

ngoja tukufatilie ili uje uthibitishe hayo unayoyazhungumza ukishindwa uwe mfano kwa wengine
 
Ukimsifia sana Mgema Tembo hulitia maji. Haya na mengine ndo yanayotokea Ila tusisahau siku AKIGUSA VYA WALIOMTANGULIA ndo hapo tutajua which is which. Stay tuned bro.

Mpaka hapo na wasiwasi kama makontena mia na zaidi yatakuwa sio ya chama .yaliyo lete madira T-shirt na kofia za kampeni.let's wait and see
 
Back
Top Bottom