Msulibasi
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 5,957
- 8,005
Katika Clouds TV nilimuona Makongoro na nikamsikia akisema maneno mazito kwamba Rafiki yangu Ibra---mnamjua Ibra nyie? Professor Lipumba.
Nilikuwa nipo sehemu gani sjui nikamsikia 'anasema wale watu wenye kashfa ya ufisadi badala ya kuwa jela nasikia wamevuta fomu za kugombea kupitia CCM.
Walitakiwa kuwa jela wajifunze kuimba waimbe wengine wapige ngoma zile zinaitwaa waimbe wimbo wa Seya au jeela jeela kubaaya.
Huyu na mpambe wake anataja live .
Nani aliangalia hicho kipindi?
Nilikuwa nipo sehemu gani sjui nikamsikia 'anasema wale watu wenye kashfa ya ufisadi badala ya kuwa jela nasikia wamevuta fomu za kugombea kupitia CCM.
Walitakiwa kuwa jela wajifunze kuimba waimbe wengine wapige ngoma zile zinaitwaa waimbe wimbo wa Seya au jeela jeela kubaaya.
Huyu na mpambe wake anataja live .
Nani aliangalia hicho kipindi?