ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 45,536
- 52,619
Paul Makonda smewajibu wale Wanaodai anawadhalilisha wanawake Kwa kudema hawezi kumvumilia Kiongozi mxembe.Kwmaba hata akiwa Mkuu wa Mkoa Kwa siku 1 inatosha.👇👇
View: https://twitter.com/HabarimpyaTv/status/1794713955220574468?t=JWFH5UAZ_BE1FMKrFtISMw&s=19
My Take
Unafuga kinyago harafu unakiogopa tena.
Taibia za kudhalilisha Watumishi wa Umma Kwa Kisingizio vya Ufisadi ,wizi na uzembe ikome mara Moja.Nakumbuka ilianzishwa na Mwendazake wakati majizi ni ma ccm na sio Watumishi wa Umma.
Mfano Makonda anaweza elezea vyanzo vya Mali zake jinsi alivyozipata?
View: https://twitter.com/MfanyakaziNews/status/1794719329902268927?t=ZaDJ69R6snlrm5b4zWctaA&s=19
View: https://twitter.com/HabarimpyaTv/status/1794713955220574468?t=JWFH5UAZ_BE1FMKrFtISMw&s=19
My Take
Unafuga kinyago harafu unakiogopa tena.
Taibia za kudhalilisha Watumishi wa Umma Kwa Kisingizio vya Ufisadi ,wizi na uzembe ikome mara Moja.Nakumbuka ilianzishwa na Mwendazake wakati majizi ni ma ccm na sio Watumishi wa Umma.
Mfano Makonda anaweza elezea vyanzo vya Mali zake jinsi alivyozipata?
View: https://twitter.com/MfanyakaziNews/status/1794719329902268927?t=ZaDJ69R6snlrm5b4zWctaA&s=19