Tanganian JF-Expert Member Joined Jan 27, 2025 Posts 5,096 Reaction score 8,811 Yesterday at 5:20 PM #61 We jamaa si ulikuwa mbele siku ya kupewa ubwabwa na nyama 🤣🤣Yaani Msukuma kawazidi akili, katoka kwao kaja kumchukua dada yenu na ubunge mmempa. Vijana wa huko akili ziko kwenye kuendesha pikipiki ,atawachezea sana .
We jamaa si ulikuwa mbele siku ya kupewa ubwabwa na nyama 🤣🤣Yaani Msukuma kawazidi akili, katoka kwao kaja kumchukua dada yenu na ubunge mmempa. Vijana wa huko akili ziko kwenye kuendesha pikipiki ,atawachezea sana .
Sir John Deere JF-Expert Member Joined Mar 1, 2017 Posts 14,222 Reaction score 27,439 Yesterday at 6:30 PM #62 Stroke said: Watuondolee huu upuuzi hapa Arusha. Click to expand... Hatoki mtu hapa.kama unaumia hama wewe
Stroke said: Watuondolee huu upuuzi hapa Arusha. Click to expand... Hatoki mtu hapa.kama unaumia hama wewe