Huyo Makonda unayemuita kuwa ni strong ndiye aliyekuwa ana mfagilia rais wa sasa katika ziara zake zote alizofanya na kumuwekea mazingira mazuri ya kushinda urais kwa siku zijazo.
Hata hivyo katika hili la udhaifu huwezi ukamtoa Magufuli kwa kuwa yeye ndiye aliyetufikisha mahali hapa kwa kumteua kama mgombea mwenza na kuufanya upande mmoja kutoa marais wawili kwa wakati mmoja.