Makonda: Lowassa hafai kuwa Rais wa Tanzania wala Mwenyekiti wa CCM

sababu eti bila kutumia rushwa ni vigumu kupata uongozi kwa kupitia njia halali ya sanduku la kura.

Wewe ni kijana mzalendo kwa kiasi fulani lakini you are undemocratic, kwa maana kwamba unajiaminisha kuwa vijana wazalendo wako CCM of which you are completely wrong.

Ili tanzania ya karne ya 21 ipate maendeleo ya wengi vijana wote wa kitanzania hatunabudi kufikiria kitanzania kuliko kufiria kichama chama. Nchi hii itajengwa na watz wenye moyo na uzalendo wa hali ya juu kwa taifa letu tanzania bila kujari ni CCM, CUF, CDM, au chama chochote cha kisiasa, mkristo, mwiislamu au mpagani.

I still believe kwamba pamoja na watu kukilalamikia chama tawala kwa kushindwa kuleta maendeleo kwa wananchi wetu wengi masikini vijijini na mjini bado tuna watu safi sana and committed ndani ya chama tawala kama wewe Ndg Makonda.

Kwa mtazamo huo, bado ninaimani vile vile bado tuna viongozi na watz wengi sana ndani ya vyama vya upinzani walio wazalendo kwelikweli wanaoweza kufanya kazi pamoja na wazalendo wa ndani ya CCM ili kujenga taifa letu...nchi ya maziwa na asari japo twasema ni nchi masikini! Bila kuwa na mtazamo na itikadi ya ina
 
Mpuuzi Ni wewe usiejua kuhoji matumizi ya ruzuku ya Chama chako cha Wachaga ChagaDeMa kinachoongozwa na babu yako padre mzinzi na mcheza shoo form 4 leaver Dj Mbowe

unakabiliwa na chuki ya kuwachukia wachagga na wakatoliki kwasababu ungekua umevuka kidogo ujima usinge tuhumu wachagga wote na huyo unaye ita padre wakati miaka mingi ameishaacha upadre!
 
"Tunafahamu kuwa upo mkakati wa kiuhaini ulioandaliwa na kuratibiwa na “mtandao” ndani ya Chama ambao umejipanga kuendesha uhaini huo"

Kwa kauli hii inamaanisha kuwa CCM kuna mparanganyiko mkubwa na wa hatari na kuna kundi limeshaona kifo cha kundi lao sasa wameamua kutumia vijana wa uvccm kutibua ili issue hii ya uhaini ifanywe kuwa moja ya agenda ya kikao kikuu cha CCM.

Sasa ni dhahiri kuwa CCM imepasuka vipande-vipande.
 
ameongea point lakini bado hajakomaa kisiasa ...kulikuwa hamna sababu ya kumtaja Lowassa kwa jina ungetupa madongo kama mangula na wengineo , kwenye video umesema viongozi wanaapa kutochukua rushwa lowassa hafai kwa hiyo ina maana kachukua rushwa , hivi akikushtaki kesho uonyeshe alipochukua rushwa ushahidi unao au ni mbwembwe tu , au huyu jamaa akiwa rais 2015 utaweka sura yako wapi ndio maana inabidi ukomae kisiasa kama wakina mzee mangula wanatupa makombora ujumbe unafika lakini hawakutaji moja kwa moja kwa sababu siasa ni mchezo mchafu sana especially Tanzania
 
Manvii,Manvii,Manvii,Manvii,Manvii,...............manviiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!?

Mpasuko huo umechungulia kwenye chama cha magamba...............................balaaaaaaaaaaaaaaa!!!
 
Hawa wajinga tu!! Mwenyekiti anampinga katibu wake waziwazi sasa mnategemea nini? Zitto alishasema msiwaamini wanasiasa!!!

1. Zitto kasema "msiwaamini wanasiasa.
2. Lakini Zitto ni mwana siasa.
3. Kwa hiyo: msimwamini Zitto.
 
Makonda na Vijana wenzako nani kawaloga? Mnatumika vibaya zaidi ya Lowassa mnayemlalamikia.

Je! Lowassa hana haki ya kuutaka Urais ndani ya Nchi yake?
Mmesahau? wakati anaongoza juhudi za kumwingiza M/Kiti wa sasa wa CCM Ikulu mbona hamkumkataa?

Mna lenu jambo nyie watoto, Ni nani kakutuma we Makonda!

Kama kweli CCM hawamtaki Lowassa kumtumia Makonda kubweka kaa Mbwa anabwekea Simba sio sahihi hata kidogo.

Jakaya Kikwete, A.Kinana, Mangula na Nape Itisheni kikao cha haraka ili muonyeshe Uthubutu wenu kaa wa CHADEMA kwa Zito Kabwe.

MVUENI LOWASSA NAFASI ALO NAYO YA UONGOZI KISHA MNYANG'ANYENI KADI YA CCM HAPO TUTAJUA MNAMAANISHA.

Vinginevyo kelele zenu ni sawa Mbwa kumbwekea Simba huku Simba akiwa hana habari,Bila kushtuka anaendelea kutafuna minofu ya Pundamilia kwa raha zake.
 
ameongea point lakini bado hajakomaa kisiasa ...kulikuwa hamna sababu ya kumtaja lowassa kwa jina ungetupa madongo kama mangula na wengineo , kwenye video umesema viongozi wanaapa kutochukua rushwa lowassa hafai kwa hiyo ina maana kachukua rushwa , hivi akikushtaki kesho uonyeshe alipochukua rushwa ushahidi unao au ni mbwembwe tu , au huyu jamaa akiwa rais 2015 utaweka sura yako wapi ndio maana inabidi ukomae kisiasa kama wakina mzee mangula wanatupa makombora ujumbe unafika lakini hawakutaji moja kwa moja kwa sababu siasa ni mchezo mchafu sana especially Tanzania

Mtu mwoga na mnafiki, ndiye anayeficha majina! Makonda umeandika historia ambayo haitasahaulika CCM! Wewe ni lulu, watu wa sampuli yako Tanzania, ni nadra kuwapata. BIG UP! Umeiita spade, spade, siyo kijiko. Hakunaga tena! Nimekupa like yangu na Thread yako nimeipa nyota tano! Washa, washa motooooooo!
 
ameongea point lakini bado hajakomaa kisiasa ...kulikuwa hamna sababu ya kumtaja lowassa kwa jina ungetupa madongo kama mangula na wengineo , kwenye video umesema viongozi wanaapa kutochukua rushwa lowassa hafai kwa hiyo ina maana kachukua rushwa , hivi akikushtaki kesho uonyeshe alipochukua rushwa ushahidi unao au ni mbwembwe tu , au huyu jamaa akiwa rais 2015 utaweka sura yako wapi ndio maana inabidi ukomae kisiasa kama wakina mzee mangula wanatupa makombora ujumbe unafika lakini hawakutaji moja kwa moja kwa sababu siasa ni mchezo mchafu sana especially Tanzania

Makonda hajakomaa kisiasa kwa kumtaja jina Lowassa??!! Nani kakudanganya? Huko ndiko hasa kukomaa kisiasa. Mwalimu Nyerere siyo tu aliwataja majina, ALIWATUNGIA KITABU!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom