mbongowakweli
JF-Expert Member
- Aug 24, 2011
- 848
- 685
Mimi nitachukua likizo na kukimbilia mbeya maana watu wa kule hawawezi kukubali upimaji wa aina hiyo anaoutaka makondaWanaume wa dar wajiandae kupimwa tez dume
Mkuu utafatiliwa huko huko mbeya upimwe kwa siri. Nasikiaga serikali ina mkono mrefu sanaMimi nitachukua likizo na kukimbilia mbeya maana watu wa kule hawawezi kukubali upimaji wa aina hiyo anaoutaka makonda

Hakuna cha maana zaidi ya kutafuta sifaAnazungumzia nini?
Mkuu watu wa mbeya hawana tofauti na watu wa musoma, hao watu wasiojulikana wakija mbeya ndiyo utakuwa mwisho wao, watachunwa na ngoziMkuu utafatiliwa huko huko mbeya upimwe kwa siri. Nasikiaga serikali ina mkono mrefu sana![]()
![]()
![]()