laki si pesa.
JF-Expert Member
- Jul 14, 2015
- 10,003
- 9,732
unajua ni kwanini Lema aligoma kumpa mkono meya Lazaro pale mahakamani siku ile? unaijua sababu? mimi ni international spy najua kila kitu kinachoendelea ndani ya CHADEMA ugomvi wa Lema na meya wake tunaujua mpaka chanzo chake na Lazaro lazima ampindue Lema ArushaHahahhahahahahhahah maneno ya mkosaji hayo.Mmetengeneza bifu nyingi imeshindikana,wakati jana walikuwa wote .Pole ila kikubwa acha fitina