Etwege
JF-Expert Member
- Jul 4, 2018
- 5,771
- 15,252
Unaweza kusema ziara ya Paul Makonda mkoani Kagera imemlipa mwalimu Adela baada ya kupewa gari mpya na Makonda baada ya kumlilia kutokana na shida yake ya kutapeliwa gari lake la kwanza mara tu alipolichukulia mkopo.
Mwl Adela amelia machozi na kumshukuru Rais Samia kwa kumteua mtetezi wa wanyonge Paul Makonda aka Bashite.
View: https://youtu.be/aQZFYNFAIgM?si=_QADiZ-xinlkUCbk
Mwl Adela amelia machozi na kumshukuru Rais Samia kwa kumteua mtetezi wa wanyonge Paul Makonda aka Bashite.
View: https://youtu.be/aQZFYNFAIgM?si=_QADiZ-xinlkUCbk