johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,958
- 141,951
Makonda amesema yeye na Ruge wana mahusiano mazuri na wamekuwa wakiwasiliana tangu Ruge alipolazwa India.
Makonda amedai Ruge alishafika nyumbani kwake kumsalimia mtoto halikadhalika Makonda naye alienda nyumbani kwa Ruge kumfanyia maombi.
Mkuu wa mkoa Paul Makonda ametangaza rasmi kushiriki tamasha la Tigo Fiesta pale Leaders club jumamosi.
Source Clouds 360!
Makonda amedai Ruge alishafika nyumbani kwake kumsalimia mtoto halikadhalika Makonda naye alienda nyumbani kwa Ruge kumfanyia maombi.
Mkuu wa mkoa Paul Makonda ametangaza rasmi kushiriki tamasha la Tigo Fiesta pale Leaders club jumamosi.
Source Clouds 360!