Makonda acha siasa kwenye barabara za Dar!!

Makonda acha siasa kwenye barabara za Dar!!

Tumsamehe hajui alitendalo,tatizo miradi yetu tunaanza kupanga fedha kabla ya tathmin ya mahitaji na upembuzi za kina wa mradi.sasa linapokuja swala la utekelezaji mapungufu yanakuwa mengi sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tumsamehe hajui alitendalo,tatizo miradi yetu tunaanza kupanga fedha kabla ya tathmin ya mahitaji na upembuzi za kina wa mradi.sasa linapokuja swala la utekelezaji mapungufu yanakuwa mengi sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani utafikiri hatuna wasomi nchi hii.
Forward thinking and planning kwa wanasiasa, watendaji serikslini na halmashauri zetu ni kama kupiga ramli.
 
Bashite huwa na jazba sana kila wakati - whether anakuna na subordinates ofisini kwake, walimu, wakandarasi, drivers wa bodaboda au wamachinga. Huu nao ni ugonjwa.
 
Back
Top Bottom