Mateso chakubanga
JF-Expert Member
- May 10, 2021
- 649
- 903
Ndege ya kijeshi ya Korea Kaskazini aina ya J- 35A kizazi cha 5 iliotengenezwa nchini China imewaleta makomandoo 700 welevu na weledi nchini Burkinafaso kwaajili ya kuimarisha ulinzi wa Rais wa Burkinafaso kapteni Ibrahim Traore.
Aidha, makomandoo hao pia watashughulikia masuala ya ugaidi kaskazini mwa Burkinafaso upande ambao kuna vikundi vya kigaidi vinayotishia serikali ya Burkinafaso.
Aidha, makomandoo hao pia watashughulikia masuala ya ugaidi kaskazini mwa Burkinafaso upande ambao kuna vikundi vya kigaidi vinayotishia serikali ya Burkinafaso.