Makipa Wa Yanga FC

Makipa Wa Yanga FC

frema120

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2012
Posts
5,098
Reaction score
1,341
Jana nilikuwepo uwanja wa Taifa wakati Yanga na Jkt ikicheza kwa 5 na 1 jkt

Ni mwanachama makini wa yanga, kilichonishangaza ni pale tulipokuwa tunatoka nje kikundi cha yanga burudani/ matarumbeta kilikuwa kinaimba nyimbo zake sijui....

"Kaseja rudi simba unaujumu yang..... na mengi"

Shabiki kama watatu hivi wa yanga wakaanza kuwatukana wanaoimba, sasa vagi likaanza kuwa kubwa kati ya yanga fans hao kwa gumi na maneno makali

Kisa nini
~ Moja wanasema kaseja asiimbwe vibaya na kikundi hicho.
~ Wengine wanasema bora Dida kuliko Kaseja

Bonge la mtafaruku likatokea n.k (kazi yangu ilikuwa ni kuamua tuuu) amani ikatulia

SASA KAMA WEWE NI SHABIKI, MPENZI N.K. Je Kaseja Yanga ni tatizo!?
 
Hilo liskuumize kichwa mkuu yawezekana hao sio mafans wa yanga ila walivaa uzi wa yanga na kitendo cha 5-1 kikawauma wakaanza timbwili hilo.
 
Wewe ndo uliyeanzisha hizo vurugu.................... kwahiyo unataka kuleta vurugu humu jamvini kati ya wanaomkuli na wasiomkubali Kaseja?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom