Super Handsome
JF-Expert Member
- Jul 16, 2013
- 3,844
- 6,469
Hoja yako ya mahakamani ifungulie Uzi wako..usifosi mfanane kifikra na mtoa mada!Hebu justify kuachana na Trilion 425, ambayo ni bajeti ya nchi kwa miaka 14 bila msaada wa senti za wahisani!. Ningekuona una hoja ya msingi ungesema tuwapeleke ACACIA mahakamani kwa wizi wote wa madini walioufanya sababu ushahidi wa kisayansi tunao!!
Akili zimeanza kukurudia msukule wa Lumumba vipi mwenyekit wenu anaposema nchi yenu ni tajiri sana na tutaanza kuwakopesha wazunguTanzania yetu siyo tajiri kihivyo kama mnavyoamini, ni kweli tuna Rasilimali za kutosha lkn wengine wanazo pia, hivyo tufute hilo kwamba sisi ndiyo Matajiri Duniani huwo siyo ukweli, ukweli ni kwamba tuna Rasilimali za kututosha kuishi vizuri kama tukiwa makini, lkn hatuna upekee wowote ule!
Haya mambo ndiyo yanayofanya watu wawe na matarajio ambayo hayapo, semeni ukweli na siyo propaganda kwamba sijui nchi yetu imebarikiwa na Rasilimali klk zote, hiyo ni bullshit, kwani wengine wanazo pia!
Naona unapiga u turn kwa mbali baada ya kutoka kudai Noah mpaka balimi ndogo 6!Tanzania yetu siyo tajiri kihivyo kama mnavyoamini, ni kweli tuna Rasilimali za kutosha lkn wengine wanazo pia, hivyo tufute hilo kwamba sisi ndiyo Matajiri Duniani huwo siyo ukweli, ukweli ni kwamba tuna Rasilimali za kututosha kuishi vizuri kama tukiwa makini, lkn hatuna upekee wowote ule!
Haya mambo ndiyo yanayofanya watu wawe na matarajio ambayo hayapo, semeni ukweli na siyo propaganda kwamba sijui nchi yetu imebarikiwa na Rasilimali klk zote, hiyo ni bullshit, kwani wengine wanazo pia!
Naona unapiga u turn kwa mbali baada ya kutoka kudai Noah mpaka balimi ndogo 6!
Tanzania yetu siyo tajiri kihivyo kama mnavyoamini, ni kweli tuna Rasilimali za kutosha lkn wengine wanazo pia, hivyo tufute hilo kwamba sisi ndiyo Matajiri Duniani huwo siyo ukweli, ukweli ni kwamba tuna Rasilimali za kututosha kuishi vizuri kama tukiwa makini, lkn hatuna upekee wowote ule!
Haya mambo ndiyo yanayofanya watu wawe na matarajio ambayo hayapo, semeni ukweli na siyo propaganda kwamba sijui nchi yetu imebarikiwa na Rasilimali klk zote, hiyo ni bullshit, kwani wengine wanazo pia!
Babeli, Malumumba buku 7 yanaparurana yenyewe.Aliye kuambia Matajiri kuliko wote nani!
Utajiri wa nchi ni Rasilimali zake
Tunathubutu kusema tena kwa kifua mbele Sisi matajiri
Mara hii mmeanza kupingana na rais ambaye kila siku anasema Tanzania ni tajiri.Tanzania yetu siyo tajiri kihivyo kama mnavyoamini, ni kweli tuna Rasilimali za kutosha lkn wengine wanazo pia, hivyo tufute hilo
!
Babeli, Malumbuka buku 7 yanaparurana yenyewe.
Mara hii mmeanza kumpingana na rais ambaye kila siku anasema Tanzania ni tajiri.
Yaani wanaume na akili zetu,tumuunge mkona uyu ropo ropo wa kuropoka??? Be serious mkuuHuu ndio ushauri wa maana unaolisaidia Taifa
sio wale Vibendera na lichama lao la Vibendera kutwa kuomba mabaya tu kwa taifa!
Ndio maana ikaletwa sheria na Wazungu kupata kiwewe kikubwa kwenya majadiliano.
Tuzidi kumuunga mkono mh Rais wetu
huyu ana nia njema kwa Taifa
He, mbwa anakula mbwa!Aliye kuambia Matajiri kuliko wote nani!
Utajiri wa nchi ni Rasilimali zake
Tunathubutu kusema tena kwa kifua mbele Sisi matajiri
Unafikiri mimi ni MbwaKoko wa Lumumba kama wewe unayeshikiwa akili na Chakubanga.Mimi siyo Nyumbu kama wewe na wala sijashikiwa akili na Binadamu kama wewe ulivyoshikiwa na Mbowe, nina msimamo na maoni yangu kulingana na uelewa wangu wa mambo!
Maneno Kama haya mwambie mtakatifu...Tanzania yetu siyo tajiri kihivyo kama mnavyoamini, ni kweli tuna Rasilimali za kutosha lkn wengine wanazo pia, hivyo tufute hilo kwamba sisi ndiyo Matajiri Duniani huwo siyo ukweli, ukweli ni kwamba tuna Rasilimali za kututosha kuishi vizuri kama tukiwa makini, lkn hatuna upekee wowote ule!
Haya mambo ndiyo yanayofanya watu wawe na matarajio ambayo hayapo, semeni ukweli na siyo propaganda kwamba sijui nchi yetu imebarikiwa na Rasilimali klk zote, hiyo ni bullshit, kwani wengine wanazo pia!
WEWE NI NYUMBU! FULL STOPHebu justify kuachana na Trilion 425, ambayo ni bajeti ya nchi kwa miaka 14 bila msaada wa senti za wahisani!. Ningekuona una hoja ya msingi ungesema tuwapeleke ACACIA mahakamani kwa wizi wote wa madini walioufanya sababu ushahidi wa kisayansi tunao!!
Mmefirisi nchi na mikataba ya usiku mnatuletea maigizo ya uzalendo? Hamna lolote wezi wakubwa nyie. Hata mbadilishe rangi ya nguo tunawafahamu kwa umbo na sura. Mkitajiwa ufisadi wenu mnabadilisha matumizi mnasema hiki ni cha Jeshi msikijadili? Badilisheni na nyumba za serikali mlizogawia hawala zenu ziwe kambi za Jeshi tusiseme tena.Huu ndio ushauri wa maana unaolisaidia Taifa
sio wale Vibendera na lichama lao la Vibendera kutwa kuomba mabaya tu kwa taifa!
Ndio maana ikaletwa sheria na Wazungu kupata kiwewe kikubwa kwenya majadiliano.
Tuzidi kumuunga mkono mh Rais wetu
huyu ana nia njema kwa Taifa
Hata mie!I didn’t expect sense coming from, mmmmm!
Unapoanza kuwaita binadamu takataka unakuwa mpumbavu Wa kiwango kikubwa, we demu tu kama demu Wa danguro acha upuuzi Wa kikahaba Wa kuona wote wanafanana na unaiwavulia nguo mchana na usiku.Mimi siyo Nyumbu, sijashikiwa akili na Binadamu yoyote yule, ninatoa maoni yangu kwa uhuru na jinsi nionavyo inafaa, na siyo kama chadema wote mmeshikiwa akili na Mbowe, akisema kushoto mnafwata, akisema kulia mnafwata, adui yake ni adui yenu, rafiki yake ni rafiki yenu, mimi siko hivyo nina maisha yangu na natetea ninachokiamini!
Mbowe anamchukia Mkuu wa Mkoa wa Dar wote na nyie mnamchukia, Mbowe anamchukia J.Muro wote na nyie takataka mnamchukia J.Muro pia, Mbowe anamchukia Raila Odinga wote na nyie Raila Odinga kageuka adui yenu, huo ni utumwa!
Hata ungeunganisha akili za ukoo wako wote hufikii nusu ya akili za Lissu.Tatizo upinzani inaongozwa na akili finyu wakina mange na sepenga na lissu bush lawyer