Makete hali mbaya, barabara hazipitiki

Makete hali mbaya, barabara hazipitiki

mumagoma

Senior Member
Joined
Jan 15, 2014
Posts
186
Reaction score
95
123344.jpg 12345.jpg

Haya ni baadhi tu ya maeneo
 
Hii mijitu hovyo kweli, utasikia October imechagua tena mbunge WA CCM! Huku kwetu Kilimanjaro tunachagua upinzani na bado Barabara za lami zinajengwa! Hebu cheki:
1.Bomang'ombe Sanya Juu lami
2.Kwa Sadalla-Masama-Machame lami
3.Machine-Tools-Machame lami
4.Kibosho Road- Umbwe Lami
5.Shantytown-Kirima lami
6.Kcmc-Mweka lami
7.Rau-Uru Njari lami
8.Rau-Uru Mambo leo lami
8.Kawawa Road-Kirua Vunjo lami
9.Himo-Marangu Mtoni lami
10.Marangu-Kilema lami
11.Marangu-Mwika lami
12.Kilacha-Mwika-Rombo-Tarakea lami

Na hizo Ni Barabara za vijijini kabisa nyingine zinaunganisha kata na kata.
 
Hii mijitu hovyo kweli, utasikia October imechagua tena mbunge WA CCM! Huku kwetu Kilimanjaro tunachagua upinzani na bado Barabara za lami zinajengwa! Hebu cheki:
1.Bomang'ombe Sanya Juu lami
2.Kwa Sadalla-Masama-Machame lami
3.Machine-Tools-Machame lami
4.Kibosho Road- Umbwe Lami
5.Shantytown-Kirima lami
6.Kcmc-Mweka lami
7.Rau-Uru Njari lami
8.Rau-Uru Mambo leo lami
8.Kawawa Road-Kirua Vunjo lami
9.Himo-Marangu Mtoni lami
10.Marangu-Kilema lami
11.Marangu-Mwika lami
12.Kilacha-Mwika-Rombo-Tarakea lami

Na hizo Ni Barabara za vijijini kabisa nyingine zinaunganisha kata na kata.

13. Himo-Holili lami
 
Hii mijitu hovyo kweli, utasikia October imechagua tena mbunge WA CCM! Huku kwetu Kilimanjaro tunachagua upinzani na bado Barabara za lami zinajengwa! Hebu cheki:
1.Bomang'ombe Sanya Juu lami
2.Kwa Sadalla-Masama-Machame lami
3.Machine-Tools-Machame lami
4.Kibosho Road- Umbwe Lami
5.Shantytown-Kirima lami
N6.Kcmc-Mweka lami
7.Rau-Uru Njari lami
8.Rau-Uru Mambo leo lami
8.Kawawa Road-Kirua Vunjo lami
9.Himo-Marangu Mtoni lami
10.Marangu-Kilema lami
11.Marangu-Mwika lami
12.Kilacha-Mwika-Rombo-Tarakea lami

Na hizo Ni Barabara za vijijini kabisa nyingine zinaunganisha kata na kata.
tuazimeni moja.October tutawarudishia
 
Duuh! serikali imewasahau watu wa Makete? May be zamu yao bado; waendelee kukiamini chama cha mapinduzi baada ya uchaguzi lami itawekwa.
 
​Big Results Now thanks to Serikali sikivu.
 
Mafinga to Mufindi inakotoka chai ya TATEPA ile barabara ni shida., Mbao zinavunwa huko semitrella unaziona dar zinatokea huko msimu wa mvua gari hazifiki. Mbunge wa ukanda huo kimya tu, wilaya mufindi yenye pato kubwa kitaifa miundombinu ya usafgirishaji haijengwi kwa viwango vya lami, why!? Tangu Kajima waondoke 1992 ni hali mbaya sana barabara
 
daa maketeee. .. ndio maisha akili kichwani
 
Hii mijitu hovyo kweli, utasikia October imechagua tena mbunge WA CCM! Huku kwetu Kilimanjaro tunachagua upinzani na bado Barabara za lami zinajengwa! Hebu cheki:
1.Bomang'ombe Sanya Juu lami
2.Kwa Sadalla-Masama-Machame lami
3.Machine-Tools-Machame lami
4.Kibosho Road- Umbwe Lami
5.Shantytown-Kirima lami
6.Kcmc-Mweka lami
7.Rau-Uru Njari lami
8.Rau-Uru Mambo leo lami
8.Kawawa Road-Kirua Vunjo lami
9.Himo-Marangu Mtoni lami
10.Marangu-Kilema lami
11.Marangu-Mwika lami
12.Kilacha-Mwika-Rombo-Tarakea lami

Na hizo Ni Barabara za vijijini kabisa nyingine zinaunganisha kata na kata.
Ujinga wa wakinga huu sijui walilogwa na nani.
 
Mafinga to Mufindi inakotoka chai ya TATEPA ile barabara ni shida., Mbao zinavunwa huko semitrella unaziona dar zinatokea huko msimu wa mvua gari hazifiki. Mbunge wa ukanda huo kimya tu, wilaya mufindi yenye pato kubwa kitaifa miundombinu ya usafgirishaji haijengwi kwa viwango vya lami, why!? Tangu Kajima waondoke 1992 ni hali mbaya sana barabara
Wahehe utadhani wana akili za kuazima
 
Wakinga watu wa ajabu sana sijui wanaraha gani hadi Leo wana ichagua ccm
 
Matokeo yake ndio hayo endeleeni kuisoma number
 
Mafinga to Mufindi inakotoka chai ya TATEPA ile barabara ni shida., Mbao zinavunwa huko semitrella unaziona dar zinatokea huko msimu wa mvua gari hazifiki. Mbunge wa ukanda huo kimya tu, wilaya mufindi yenye pato kubwa kitaifa miundombinu ya usafgirishaji haijengwi kwa viwango vya lami, why!? Tangu Kajima waondoke 1992 ni hali mbaya sana barabara
zile barabara ni za asili..ukiweka lami miti haitastawi ......si unaona hata national park hawaruhusiwi kuweka lami watafukuza wanyama?
 
Kila mwaka ahadi juu ya ahadi lakini haitengenezwi
 
Back
Top Bottom