Make-up zinatudanganya wanaume

Make-up zinatudanganya wanaume

Kipnd mwngne akitumia internet kutafuta ajira na kufanya ajir mwngne anakuambia nguvu ya adimin kupata mchumba
 
Timbwili,uliingia choo cha kike,wallah! wallah!
 
Pole sana mkuu ila na mm 1day nlimpata bonge la toto zur kwel kwel kama kashushwa hajazaliwa chaajabu kuamka asubuh baada ya kuoga mkuu kama kabanikwa mbaya cjui alijipiga fila na rangi aisee au n kiini macho jaman ndugu zangu
 
Taharifa nzito hii bila picha hainogi mkuu
 
Ndugu kwa kifupi nilifungua group LA WhatsApp LA wachumba members walikuwa wengi kiukweli nilitokea kumpenda Dada mmoja kiukweli alikuwa mrembo sana nilitumia uadmn kumremoved haukuchukua hata dakika alinifata inbox chanzo cha kumremoved nilimwambia Ukweli kuwa nimekupenda tukaanza kutumiana Picha kiukweli kila Picha aliyotuma ilinikosha roho .kuna siku alimwachia mdogo wake simu nilipiga alipokea yeye alijitambulisha anaitwa Doreen nilimuuliza swali MOJA nilivyopiga jina gani lilitokea ktk cm alijibu Ukweli Dada yke alinisave my husband nikamjb kuwa mm ni mume wake mtarajiwa ila anitumie zake zote kwani nilishaongea naye bila hiyani alianza kunitumia kwa njia ya WhatsApp sikuhamini kiukweli alikuwa

Mweusi wa ajabu mikwaruzo sijui ya kufumaniwa na mume za watu nilitumia akili nikamuomb afute chat tuliyochat tangu siku hiyo ukawa mwsho wa kumtafuta kinachoniuma alishanila km.elfu 50 kwa kwel makeup noma
Safiiii angekula mpaka banana na mapple yake mnapendwa hamtaki tuwafanyaje sisi kimewatokea halafu mnakuja kutupa presha humj.
 
Wanakwambia uzuri wa Demu kwenye mitandao ya kijamii inategemea anatumia cm gan
 
Pole sana mkuu ila na mm 1day nlimpata bonge la toto zur kwel kwel kama kashushwa hajazaliwa chaajabu kuamka asubuh baada ya kuoga mkuu kama kabanikwa mbaya cjui alijipiga fila na rangi aisee au n kiini macho jaman ndugu zangu
Makeup hizi
 
Ndugu kwa kifupi nilifungua group LA WhatsApp LA wachumba members walikuwa wengi kiukweli nilitokea kumpenda Dada mmoja kiukweli alikuwa mrembo sana nilitumia uadmn kumremoved haukuchukua hata dakika alinifata inbox chanzo cha kumremoved nilimwambia Ukweli kuwa nimekupenda tukaanza kutumiana Picha kiukweli kila Picha aliyotuma ilinikosha roho .kuna siku alimwachia mdogo wake simu nilipiga alipokea yeye alijitambulisha anaitwa Doreen nilimuuliza swali MOJA nilivyopiga jina gani lilitokea ktk cm alijibu Ukweli Dada yke alinisave my husband nikamjb kuwa mm ni mume wake mtarajiwa ila anitumie zake zote kwani nilishaongea naye bila hiyani alianza kunitumia kwa njia ya WhatsApp sikuhamini kiukweli alikuwa

Mweusi wa ajabu mikwaruzo sijui ya kufumaniwa na mume za watu nilitumia akili nikamuomb afute chat tuliyochat tangu siku hiyo ukawa mwsho wa kumtafuta kinachoniuma alishanila km.elfu 50 kwa kwel makeup noma
Dr Shika Again.
 
Safiiiii ushaliwa hapo 😂😂😂😂😂mm Hata kama girl nimekutana nae mtandaoni siwez tongoza au kumtumia pesa bila kuonana nae face to face
 
Back
Top Bottom