WALOLA VUNZYA
JF-Expert Member
- Nov 20, 2020
- 8,231
- 7,802
Mkabila zidi wa kiwango wewe.Huu ni mwaka wa kukirudisha chama kikuu cha upinzani Chadema katika viwango vyake kama alivyoiacha Dr Slaa.
Chadema ni wapinzani wa kweli tuwaunge mkono.
Make Chadema Great Again ( Machaga)
Happy New Year.
Maendeleo hayana vyama!
Sija manisha halali ya kanisani au msikitini nature itawatupa tu ni suala la mudaUkitaka halali nenda Kanisani kwenye siasa hutaipata popote duniani!
Huyo ni bwege fulani hiviMleta mada ni MATAGA hamjamshtukia tu
Make Chadema Great Again!
Mkabila ndio nini bwashee?Mkabila zidi wa kiwango wewe.
Mentor wao Antipasu alisikika wakati wa kampeni zake( najua ni wakati wa kazi uchaguzi umeisha ila rejea hii muhimu) akisema si lazima Tanzania iendelee kuwepo! Na hapo ndipo alipokoleza moto wa 'ni yeye' anataka kutuuza kwa mafungu watanzania!Bwashee Tanzania ni moja vyama vya siasa vitapita lakini Tanzania itabaki!
Mawazo mfu ya kikabila kabila kwa lengo la kuvuruga umoja na mshikamano wa nchi.Mkabila ndio nini bwashee?
kama weweMentor wao Antipasu alisikika wakati wa kampeni zake( najua ni wakati wa kazi uchaguzi umeisha ila rejea hii muhimu) akisema si lazima Tanzania iendelee kuwepo! Na hapo ndipo alipokoleza moto wa 'ni yeye' anataka kutuuza kwa mafungu watanzania!
Kwa hiyo mkuu, jitahidi kuwapa darasa watanzania wenzetu hawa ambao wamepotoshwa na wanasiasa uchwara na wabinafsi!
Mawazo ya kikabila gani kwa mfano?Mawazo mfu ya kikabila kabila kwa lengo la kuvuruga umoja na mshikamano wa nchi.
Pipozzzzzz......iko Uganda kwa Bob Wine!Great mara ngap, pita apo stend sema pipozzzzz, utajua ipo au aipo..
Afu pita useme ......... Oyeeee uckilize muitiko wake..
Huu ni mwaka wa kukirudisha chama kikuu cha upinzani CHADEMA katika viwango vyake kama alivyoiacha Dkt. Slaa.
CHADEMA ni wapinzani wa kweli tuwaunge mkono.
Make Chadema Great Again ( Machaga)
Happy New Year.
Maendeleo hayana vyama!
Stand gani?Great mara ngap, pita apo stend sema pipozzzzz, utajua ipo au aipo..
Afu pita useme ......... Oyeeee uckilize muitiko wake..
Ukiisha kuwa kaburini utakuwa hujauona mwisho wa CCM. JUHUDI ZOTE ZIWE SASA.Hiki kifupisho cha Machaga ndo sijakipenda! Zaidi ya yote, CHADEMA tutavuka nayo milima na mabonde hadi tutakapouona mwisho wa ccm hata kama tukiwa kaburini.
Mwaka 2021! CHADEMA thabiti, CHADEMA Bora! CHADEMA Imara!
Afadhali!Ukiisha kuwa kaburini utakuwa hujauona mwisho wa CCM. JUHUDI ZOTE ZIWE SASA.
Wewe mlevi, mbona unaumia Sana na cdm isiyokuhusu? Yaani ukilala, ukiamka, ukigeuka ni cdm tu as if inakulisha na kukuvesha! Hunaga hoja nyingine zaidi ya cdm?Huu ni mwaka wa kukirudisha chama kikuu cha upinzani CHADEMA katika viwango vyake kama alivyoiacha Dkt. Slaa.
CHADEMA ni wapinzani wa kweli tuwaunge mkono.
Make Chadema Great Again ( Machaga)
Happy New Year.
Maendeleo hayana vyama!
What do you mean when you write MACHAGA to present specific political party?Mawazo ya kikabila gani kwa mfano?
Are you a policy maker?Huu ni mwaka wa kukirudisha chama kikuu cha upinzani CHADEMA katika viwango vyake kama alivyoiacha Dkt. Slaa.
CHADEMA ni wapinzani wa kweli tuwaunge mkono.
Make Chadema Great Again ( Machaga)
Happy New Year.
Maendeleo hayana vya
Halafu anatunga ufupisho wenye harufu ya ukabila,"MACHAGA"Wewe mlevi, mbona unaumia Sana na cdm isiyokuhusu? Yaani ukilala, ukiamka, ukigeuka ni cdm tu as if inakulisha na kukuvesha! Hunaga hoja nyingine zaidi ya cdm?
Anyway, hakuna teuzi mpya ndani ya ccm chakavu kwa Sasa na hata zikiwepo huwezi pewa ni Bora ukageme ulanzi kule kwenu!
Huu ni mwaka wa kukirudisha chama kikuu cha upinzani CHADEMA katika viwango vyake kama alivyoiacha Dkt. Slaa.
CHADEMA ni wapinzani wa kweli tuwaunge mkono.
Make Chadema Great Again ( Machaga)
Happy New Year.
Maendeleo hayana vyama