Pearce
JF-Expert Member
- Dec 15, 2018
- 577
- 1,381
Kuna mshikaji mmoja ana cheo kunishinda kazini tuliwahi pishana pale kazini baada kumgundua alikuwa ananichafua kwa mameneja (ilitokea mazingira ya kupandishwa cheo kazini) ofisi ilinipendekeza. Kwahiyo akawa anawatumia watu tofauti nionekane sifai nina kiburi (ukweli mimi ni mtu mkimya)
Sasa bahati mbaya akiwa ananifanyia mikakati hiyo nilikuja fahamu kila kitu na bahati mbaya yeye akawa hajafahamu nimemtambua. Sema nikamkaushia nikawa naendelea na mambo yangu lakini naishi nae kwa akili sana.
Sasa majuzi tena akaenda nipaka uchafu mwingi kwa mameneja lakini nikapata nafasi ya kusikilizwa akagundulika yeye ana matatizo hayo hivyo lengo lake halikutimia nikabakizwa katika tasisi na yeye akawa kama kasusa. Akawapanga washkaji zake
Ambao ni kero anaweza kuja ofisini kwangu tukawa tunapiga story tu za maisha, lakini ajabu ataanza mtaja huyo mshikaji wake mbele zangu sasa mimi huwa na kwepa zungumzia chochote. Kikubwa huyu jamaa anaekuja ofisini kwangu ni moja ya watu ambao wanaopeleka sana maneno juu na nimemfahamu tayari.
Sasa bahati mbaya akiwa ananifanyia mikakati hiyo nilikuja fahamu kila kitu na bahati mbaya yeye akawa hajafahamu nimemtambua. Sema nikamkaushia nikawa naendelea na mambo yangu lakini naishi nae kwa akili sana.
Sasa majuzi tena akaenda nipaka uchafu mwingi kwa mameneja lakini nikapata nafasi ya kusikilizwa akagundulika yeye ana matatizo hayo hivyo lengo lake halikutimia nikabakizwa katika tasisi na yeye akawa kama kasusa. Akawapanga washkaji zake
Ambao ni kero anaweza kuja ofisini kwangu tukawa tunapiga story tu za maisha, lakini ajabu ataanza mtaja huyo mshikaji wake mbele zangu sasa mimi huwa na kwepa zungumzia chochote. Kikubwa huyu jamaa anaekuja ofisini kwangu ni moja ya watu ambao wanaopeleka sana maneno juu na nimemfahamu tayari.