Makatazo ya mambo ya fuatayo kwa afya yako

mwinyi mpemba

Member
Oct 9, 2017
11
2
1. Usinywe maji ya moto baada ya kula chakula.
2. Usinywe maji ya baridi.
3. Usile vitunguu maji na kitunguu thaum kwa pamoja.
4. Usile kitu kikali halafu hapo hapo ukanywa maziwa ni hatari.
5. Usile mayai na maziwa kwa pamoja ni hatari sana.
6. Usile samaki na mayai inaweza sababisha madhara ya ukoma ugonjwa wa kufura viungo.
7. Usile baadae ukaoga hii ni hatari inaweza kukuletea tumbo la.mshipa bora ni uoge ndio ule.
8. Usifanye hijama (kuundama) ukiwa na mkojo inasababisha maradhi ya kibofu cha mkojo.
 
1. Usinywe maji ya moto baada ya kula chakula.
2. Usinywe maji ya baridi.
3. Usile vitunguu maji na kitunguu thaum kwa pamoja.
4. Usile kitu kikali halafu hapo hapo ukanywa maziwa ni hatari.
5. Usile mayai na maziwa kwa pamoja ni hatari sana.
6. Usile samaki na mayai inaweza sababisha madhara ya ukoma ugonjwa wa kufura viungo.
7. Usile baadae ukaoga hii ni hatari inaweza kukuletea tumbo la.mshipa bora ni uoge ndio ule.
8. Usifanye hijama (kuundama) ukiwa na mkojo inasababisha maradhi ya kibofu cha mkojo.
Umetoa Katazo, lakini hujatoa ufafanuzi wa kitu gani kinatokea ukitenda hilo Katazo.

Mfano. Usifanye uzinzi kwa sababu unaweza kupata magonjwa kama gono, kaswende, virusi vya HIV na mengineyo.
 
1. Usinywe maji ya moto baada ya kula chakula.
2. Usinywe maji ya baridi.
3. Usile vitunguu maji na kitunguu thaum kwa pamoja.
4. Usile kitu kikali halafu hapo hapo ukanywa maziwa ni hatari.
5. Usile mayai na maziwa kwa pamoja ni hatari sana.
6. Usile samaki na mayai inaweza sababisha madhara ya ukoma ugonjwa wa kufura viungo.
7. Usile baadae ukaoga hii ni hatari inaweza kukuletea tumbo la.mshipa bora ni uoge ndio ule.
8. Usifanye hijama (kuundama) ukiwa na mkojo inasababisha maradhi ya kibofu cha mkojo.

Hold on mkuu!!, hiyo namba 3 hiyo, ina maana nisile Pilau??

Kama vina madhara tofauti na kupunguza nguvu za kiume, am sorry siwezi kuacha.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom