Opticf
Member
- Oct 4, 2012
- 62
- 4
Hko kijijin kuna mzee mmoja alienda kanisan akiwa amejiandaa kwa wk zima sadaka ya sh. 200 kumbe hpo kanisan et hawana kawaida ya kutoa salaf, kwao ni noti tu i mean kuanzia 500,1000,2000,5000 ama 10.000. Alipoitoa tu wkt wa sadaka wakamrudishia km ww ungefanya nin?