Makamu wa Rais mstaafu Gharib Bilal amtembelea Mama Maria

Aisee poleni familia ya Mwalimu. Nifikishie salam zangu mwambie mama wa taifa Lancashire nampa pole sana kwa kuondokewa na mkwewe.
 
basi sawa ! poleni,

mkuu yule mlinzi usalama wa taifa aliyekuwafanyia inspeksheni takataka ulizokuwa unakwenda kutupa ! akakuita we mzee akidhani umeiba bulb bado yupo! mtonye bilal akusadie awajibishwe ...
 
Watu wengine bana..mtu yupo kwenye msiba nyumbani kwao ni namna gani ahame tena,!
 
Yule mtu mwingine anasema Dr.Shein atapigwa risasi kama alivyopigwa risasi Karume. Hawa ndio watu wanaotaka JF ifungiwe. Kwa sababu JF must regulate itself,isiwaachie wavuta bangi wafanye rioting.
 
,.?! yale matusi uliyonitukana""******,hayawani,etc,""ulinitukana kwa vile ulikuwa hujui kuwa ni matusi.


Ingawaje sikumbuki kama niliwahi kulitumia hilo neno dhidi yako lkn kama niliwahi basi narudia tena kum radhi, na nitajitahidi kuangalia ni nani namjibu vipi na ktk mazingira gani saa nyingine tunakuwa carried away na mtiririko wa maisha lkn narudia tena Pole Sana!

Pamoja Sana!
 
Ingawaje sikumbuki kama niliwahi kulitumia hilo neno dhidi yako lkn kama niliwahi basi narudia tena kum radhi, na nitajitahidi kuangalia ni nani namjibu vipi na ktk mazingiri gani saa nyingine tunakuwa carried away na mtiririko wa maisha lkn narudia tena Pole Sana!

Pamoja Sana!
Kwa mara ya kwanza tokea nimeingia JF leo ndio Barbarosa umeomba msamaha ambao umenigusa moyoni,sasa sijui sababu ya wine! Ila nina hakika,kama ulitukana,kwa msamaha huo,inaashiria hukukusudia. Pole mkuu
 
Back
Top Bottom